Recent content by PROFESSOR JOACHIM

  1. PROFESSOR JOACHIM

    Mtu aliyechora picha ya hewa

    Usiogope kukosea, ogopa kutokujifunza kilichosababisha ukosee. Wanaofanikiwa sio wasiokosea, bali wale wanaojifunza kilichoawafanya wakosee, hivyo hurekebisha makosa yao na hujaribu tena na tena na mwisho HUFANIKIWA. Unapoziendea ndoto zako usiogope kukosea, bali chukulia kukosea kama fursa ya...
  2. PROFESSOR JOACHIM

    MSANII WA UCHORAJI KIPOFU.

    Usiogope kukosea, ogopa kutokujifunza kilichosababisha ukosee. Wanaofanikiwa sio wasiokosea, bali wale wanaojifunza kilichoawafanya wakosee, hivyo hurekebisha makosa yao na hujaribu tena na tena na mwisho HUFANIKIWA. Unapoziendea ndoto zako usiogope kukosea, bali chukulia kukosea kama fursa ya...
  3. PROFESSOR JOACHIM

    Unachokilea na kukipenda zaidi kitakuangamiza

    UNACHOKILEA VIZURI KITAKUUA. Hii ni hadithi ya kweli kuhusu mwanamke aliyekuwa na nyoka wake aina ya chatu aliyempenda sana. nyoka alikuwa na urefu wa mita 4, aliishi naye kwa muda mrefu na siku zote nyoka yule alionekana mwenye afya. Hata hivyo, nyoka alianza kukosa hamu ya kula kwa wiki...
  4. PROFESSOR JOACHIM

    TAA INAYOTOA GIZA

    TUNZA MUDA KAMA MBONI YA JICHO LAKO, HUTAKUA KIPOFU WA MAFANIKIO. SI MVI KICHWANI ZIKUPAZO HEKIMA BALI MUNGU MOYONI HUWAPA WATOTO WAKE HEKIMA. HAKI NDIO NJIA PEKEE TU YA MAFANIKIO YA MAANA, KINYUME CHAKE PIA NI KWELI. MAISHA NI GHARAMA, HUWEZI KUKWEPA GHARAMA KATIKA MAISHA. NAAM USIPOLIPIA...
  5. PROFESSOR JOACHIM

    Mahaba Niue

    Nilitaka kufa, ndio maana nikaandika...."mahaba niue"
  6. PROFESSOR JOACHIM

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Sikuja kuhubiri dini au dhehebu bali kumsaidia huyu dada. Ningepende kusikia maoni yake kuliko maoni ya mtu yeyote asiyehusika
  7. PROFESSOR JOACHIM

    Mahaba Niue

    Kipofu huona sawa na upofu wake
  8. PROFESSOR JOACHIM

    Giza Latoa Nuru

    DINI ZOTE ZINATOKA KWA SHETANI Kama kweli si za shetani kwanini zimeshindwa kuwafanya kuwa watakatifu? kwanini ni chanzo cha kuvuga amani ya dunia? Mbona Bwana Yesu hakuleta dini ya kikristo? Mbona kuna wakristo mashoga? Mbona kuna wakristo waabudu sanamu? Mbona kuna wakristo wanaomba omba na...
  9. PROFESSOR JOACHIM

    Mjue Msanii wa Uchoraji kipofu

    USIPOKUBALI HASARA ZA FAIDA, HUWEZI KUPATA FAIDA. Naam kila faida huanza na hasara (KUPOTEZA) na kila hasara huanza na faida (KUPATA) ndio maana watu hujuta na kusema "NILIDHANI NIMEPATA KUMBE! NIMEPATIKANA". WATU HUPENDA KUSIKIA WANAYOTAKA (YANAYOWAPA RAHA, bila kujali ni sawa au si sawa)...
  10. PROFESSOR JOACHIM

    Mahaba Niue

    Huwezi kupata nuru kwa kusababisha giza kwa wenzako. Huwezi kuwa juu kwa kuwashusha wenzako. Acha kuwatakia wengine mabaya, nawe utafanikiwa. Usiwe kama MSUZI kazi kunuka tu! Siri ya kushindwa ktk maisha ni KUWA MUOVU. UOVU ni giza, hutaweza kuona fursa za mafanikio kama UOVU ukitawala fikra...
  11. PROFESSOR JOACHIM

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Intended to save the lady and not to debate with religious people
  12. PROFESSOR JOACHIM

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Ukivaa mawani ya bluu kila kitu utakiona ni cha bluu. Sishangai kwanini hakuna nuru gizani.
  13. PROFESSOR JOACHIM

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Nimetumia neno "kama" (like) si "only" kipindi nikielezea makanisa hayo. Ungekuwa mpagani isingekusumbua lakini ukiwa na dini, lazima udini ukutese
  14. PROFESSOR JOACHIM

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Mungu anaweza kuponya magonjwa. Mimi mwenywe niliponywa magonjwa mazito sana, pia nimeokoka. Hospitali zilishindwa lakini nilipomwamini Mungu aliniponya. Dada (mwenye ugonjwa) ukiwa na akili nzuri utagundua kwamba ushauri wangu haulengi kukupoteza kama mtu mwingine asiyemwelewa anavyoona.
Back
Top Bottom