Recent content by profesa miwani

  1. profesa miwani

    ZEC: Hakuna Chama wala Mgombea aliyejitoa kwenye Uchaguzi wa marudio Machi 20

    nimesoma majibu na comments zinafanana. Jecha ni mbaya na anatumika na CCM!!! sijaona watu wa kujiongeza na kuchambua hali halisi ya sheria na taratibu za uchaguzi wa Zanzibar. Kwani shida kuuuubwa ni nini???Kama CUF na ACT na wengine hawshiriki uchaguzi na watu wao wanjua hilo shida iko wapi...
  2. profesa miwani

    Ikulu imelipia matangazo ya moja kwa moja (live) ya Dr Magufuli?

    rais ndo mmiliki wa TBC na halipi hats senti.sheria iliyoanzisha TBC inatamka wazi kazi kuu za TBC jamani hebu someni acheni kulalama.
  3. profesa miwani

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    running dogs!!!very correct. Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  4. profesa miwani

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    mhhhh mbowe ni mlezi kisiasa wa zitto???toka lini????
  5. profesa miwani

    Lowassa: Utajiri wangu usitumike kwa lengo la kuchafuana katika siasa, ndugu zangu aliyepata amepata

    wao Ccm woooooote ni wezi hatuna muda nao sisi.huyu lowassa aliejipambanua kuwa yeye ni mzalendo tena mpenda watu yeye ndo tunahoji.hayo ya ccm inatuhusu nini sisi??
  6. profesa miwani

    Lowassa: Utajiri wangu usitumike kwa lengo la kuchafuana katika siasa, ndugu zangu aliyepata amepata

    uzuri ni kuwa alioiba nao na kufilisi nchi hii kwa miaka 50 ndo wanaonyetisha.sisi hao wa ccm hawatuhusu kivile maana wao ndo wasifu wao.lowassa anajipambanua kuwa si mwizi eti mzalendo ndo inakuwa isshu
  7. profesa miwani

    Kumdhibiti Lowassa, wanaweza kuweka kipengele cha umri kwenye Katiba

    sidhani km Ccm wanamwogopa lowassa.jamaa ni mwizi mwenzao wameiba miaka nenda rudi pamoja eti leo wamwogope!!!walimkata na wananchi wakamkata na cdm wakampiga dili.
  8. profesa miwani

    Kwa Style hii Mh unaipa shule laki 6 unasema Elimu bure?

    stories tamuuuu kwa Nyumbuuuz.
  9. profesa miwani

    Mabadiliko ya Muundo wa Kamati za kudumu za Bunge

    lowassa mwenyewe kaenda kumwona sumaye too late for s comrade
  10. profesa miwani

    Lowassa: Utajiri wangu usitumike kwa lengo la kuchafuana katika siasa, ndugu zangu aliyepata amepata

    mhhh majumba yenye jina la ALFA HOUSE mfano ile ya Morocco kinondoni wamepanga SSRA na Barclay's bank.
  11. profesa miwani

    Serikali yawajibu UKAWA kuhusu safari za Rais

    akisema hayo yote ndio nini sasa??kama kuna mtu au watu wannamin i kuwa rais kwenda nje ni hasara hebu ajikumbushe safari za nyerere nje ya nchi kwa gharama za serikali. hakuna rais ambae hatakwenda nje ya nchi na gharama ni kubwa.ishu ya faida kwa tanzania ni mtambuka kwani kuna safari mfano za...
  12. profesa miwani

    Lowasa adhalilishwa

    so lowassa nawaiga ccm kukataa midahalo???au bado ndani ni ccm???
  13. profesa miwani

    Lowasa adhalilishwa

    sitta alimdhalilisha magufuli ndio.
  14. profesa miwani

    Lowasa adhalilishwa

    una maana mbatia ndio anaweza kuongea na waloshindwa??
Back
Top Bottom