Nahitaji kujua ni makato gani mtu anakatwa akiwa anapokea pesa illiyotumwa kutoka nje ya nchi? Na kama yapo, anaweza kufanya nini ili pesa isikatwe sana au isikatwe kabisa akiipokea..??
Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Je, ipo siku ulishawahi kuishi chini ya dola moja? Maisha yanaendaje hapo?
Unampa ushauri gani mtu anayepitia kipindi kigumu hivyo?
Afanye nini ili aweze kutoka hapo ajikwamue maisha yake na umaskini?
Najua mada hii inaweza kuwa nyeti kwa baadhi ya watu, hivyo basi samahani sana kwa mtu atakayekereka. Katika vitu vinavyojulikana sana duniani, Pesa inashika nafasi ya kwanza, sababu hadi watoto wa chekechea wanajua umuhimu na matumizi ya pesa kuridhisha hamu zao kununua vitu vya kumung'unya na...
Kuna Aina nyingi za kuzalisha umeme duniani. Na baadhi ya njia ambazo zimezoeleka ni kama vile, umeme wa maporomoko ya maji, umeme wa upepo, umeme wa jua, umeme wa makaa ya mawe na umeme wa nuklia. Hizi Aina za umeme zote zinategemea matumizi ya rasilimali ghafi ili kama vile maji, jua na makaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.