Niuchambue kidogo,Mimi ni superintendent wa pharmacy fulani Arusha sikuambii wilaya gani hizi habari zinatokea karibu nchi nzima uchunguzi ukifanyika inaonekana sio kweli boss wangu aliwahi kutajwa kwa kiongozi fulani kwenye mkutano wa hadhara lakini zilikuwa ni fitna biashara inamambo mengi...
Kaka ukaguzi unahatua zake nahisi hao unaowataja hawana vigezo vya kukagua taratibu za ukaguzi zipo na zinajulikana nikusahihishe nahisi huzijui taratibu,lakini Kama unauthibitisho wowote ambao unaweza kusaidia kubaini uovu huo peleka mahali husika sio kutamba unarisiti wakati sehem ambapo items...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.