Wengi wenu hapa bado mnaota...kitu watakachofanyiwa ukawa na ccm kwenye uchaguzi huu itakuwa historia..wenzenu walikuwa wanaandikisha wapiga kura wao kwa mbinu za kila aina nyie mlikuwa mnashabikia Escrow
Yaani majitu mengine sijui yamezaliwa chooni...mtu katoa mada hapa wewe unamtukana?? Kwa kweli mtaishia kushinda kwenye facebook na vijiwe vya kahawa huku mkitegemea chadema wakichukua nchi watagawa pesa barabarani..MABWEGE
Siasa za maji taka...yaani nyie mtumie umeme wa IPTL kwa muda wote huo bure na bado mseme pesa zote ni za serikali??? Sijawahi kuona ulevi kama huu??kama ni za serikali kule zilikuwa zinafanya zisikae hazina?? Hapa kuna haya...1.MBIO ZA URAIS 2015 2.UGOMVI WA WALIONYIMWA VITALU VYA GESI NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.