Recent content by PRINTABLUE

  1. PRINTABLUE

    Salamu mh. Mwigulu: Wana-Iramba wanakushangaa sana

    Ukisikia zuzu ndo huyu ndugu yangu mwigulu madelu nchemba. Mkutano wa chadema haukuwa na lengo la kupambana na sisiemu wala utawala wake dhalimu, bali mkutano huu ulikuwa mahsusi kwa kukusanya maoni ya wananchi juu ya rasimu ya katiba. Mwigulu akaona ni vema alete timu ya mpira ili watu wengi...
  2. PRINTABLUE

    Polisi yapiga marufuku maandamo ya kupinga kukamatwa sheikh Ponda kesho

    mimi printablue patriq. Nikiwa na akili timamu na bila kuwa na shinikizo toka upande wowote ule, nakiri kwamba leo sitachangia hii mada maana naishi nyumba moja na mwislamu anayeunga mkono maandamano
  3. PRINTABLUE

    Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

    Jifunzeni na kuisoma katiba ya hao waarabu then hamtahangaika nao
  4. PRINTABLUE

    Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

    naona kabang yako inakubipu ama kuwasha. Ni lini tanganyika ilikuwa sehemu ya upuuzi wa kwenu zenji? Natamani nije na bomu hapo uislamuni niwape ndonga hadi muache huu ujinga wenu. Nani aliwaambia sisi tunapenda 0713?????????????????????????????? Kabang!
  5. PRINTABLUE

    Serikali Tatu: Ni mfano wa kutoka nchi gani duniani?

    naona mmeanza kurudi kwenye wazo la serikali za majimbo. Sio mbaya rudini kwenye majimbo tunawakaribisha sana. Kumbe kuna siku unaachaga u gamba unarudi kwenye reality?
  6. PRINTABLUE

    Ludovick Afunguka - Aelezea uhusiano wake na Mwigulu, Lwakatare

    BEN - funguka. tiririka maana naaminia upembuzi wako
  7. PRINTABLUE

    Ukweli kuhusu mlipuko wa Arusha na Mwigulu Nchemba,kwa manufaa ya Watanzania na Wana Arusha ni huu!

    mara ya mwisho kijana huyo aliyebabuliwa na tindikali (pole sana musa kwa kuwa ni tendo baya kwa kila mwanadamu) alikuwa anakunywa kiroba na safari akichanganya pale sterio hotel usiku akiwa na tecno akibrowse browse na kutema mate mithili ya nyoka. Nilimwonea huruma kutumiwa na mtu kama mwigulu...
  8. PRINTABLUE

    UPDATE: Uthibitisho wa CHADEMA kumiliki DVR mbili zilizorekodi mkutano huu hapa.

    we endelea na mawazo yako ukijifariji kwamba tu waongo. Nilifurahi sana nilipokutana tiss oficer mmoja wa iramba aliposema hajui dvr ni nini na kazi yake. Nikabaini hakuna uchunguzi hapo wala maarifa ya ki intelijensia wanayodai wanayo. Nilicheeeeka hadi basi. Kidogo nitoboe siri ya nyumba...
  9. PRINTABLUE

    Siasa za majitaka za CHADEMA Mbeya na hofu ya kushindwa uchaguzi

    tolea maelezo kambi ya kijeshi ya ulemo kabla ya uchaguzi mdogo wa igunga. Ulikuwa unafundisha afya, elimu na mapokezi ya kiongozi yupi? Mwisho wa siku yatawekwa wazi. Ugaidi ufanye wewe kisha useme cdm. Nani alianzisha kambi hiyo ya ulemo?
  10. PRINTABLUE

    Gazeti la Majira: CUF walaani Udini unaodaiwa kuenezwa na Mwenyekiti wake

    shemeji yangu angalia usije ukaangukiwa na vitu vyenye ncha kali. prof naye si mchezo maana ni MKE WA YULE JAMAA ANAYEMILIKI NCHA KALI.
  11. PRINTABLUE

    Hamad Rashid: Wabunge wa upinzani wamekosa nidhamu na umoja

    naona leo nyumba imevamiwa na wezi: Molemo, ritzi, ze marcopolo ndo hayupo labda hana credit za kuingia jf, jinamizi, hata m23 bbado amekaa lumumba akisubiri chochote akaweke vocha
  12. PRINTABLUE

    Ruaha: Mwenyekiti wa kijiji atangaziwa polisi

    naona umesharudi toka kongo. karibu molemo na wenzake wamekupokeaje?
  13. PRINTABLUE

    CHADEMA mnampuuza Mbowe!

    Nape ( mnyiramba aliyeharibiwa ) nafikiri ushauri wa mahengela umeupata vema. Harakati hazimaanishi ugaidi, siasa za ugomvi, na mambo mengine mabaya. Please wewe ni kijana sana kuliko mimi, yamkini waweza kusoma sana hata yale magumu ukayajua vema. Ona mawazo yako yanavyokudhalilisha: Hebu...
  14. PRINTABLUE

    CHADEMA mnampuuza Mbowe!

    naona rejao, ze marcopolo, molemo, pasco nao wanakubaliana na wewe. leo jioni utakuwa wapi. mi ntakuwepo rose gaden hapa maeneo ya area c.
Back
Top Bottom