Hapo best kakosea, kumuita mume "LIJITU" Maana alimsitiri, akatoa maari na kumuoaa, pili kutumika ni wajibu maana usipofanya nani afanye? Kama kazi zimekuzidi mngezungumza na mumeo ili mtafute msaidizi na uishi nae vyema.
Kitandani pia ni mazungumzo tu, maana ukimpa mume dozi mzuri yenye...
Ahsante my, kweli bora nifanye hivyo maana unajikuta mtu ana sex na ww unainjoy hatarii akiondoka mawazo kwake tuuu, uwiii na niache tamaa ya pesa, Mungu nisaidie niache tamaa ya PESA NIRIDHIKE NA NLIZONAZO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.