Mhh nakubaliana na hizo allowances Kwa Askari police,lakini Askari mwenye madaraka ya uOCD kawaida halindwi bana,huyo sista wako anachofanya sio kuwafanya askar wamlinde haipo kabisa anaelindwa nyumbani na askari ni RPC tu.
Mpeleke hosp zinazohusika na autism,mbona wanakaa Sawa baada ya muda,pia kuna shule zao kuwa mtafiti ingia mitandaoni search shule zao zipo wanawatrain wanakua Sawa ingawa inachukua muda,pia uwe unamkeep busy na vitu vya kuchezea yaani toys vya kuchangamsha akili
She is a devil [emoji48] in human flesh,Hana utu,so sad Kwa watoto wake,Mungu awaepushe wasijebeba laana za mama Yao.
Bora hata Boke amemkataa kama na yeye alivyomkataa mama yake mzazi ,what goes around comes back around
Daimond platnumz kajisemea ukweli,wengine umbea,kubully watu ndio wanapata riziki zao,sasa huyu bi kidude anasema eti hawezi kutaja source Bora awe jobless,khaa
Ila nyie watu sijui ni wivu au nn,kama ni hivyo basi hao baby mamas wa Ruge wote Wana Ngoma,kuanzia Zama,Yule mke WA Romyjones na wengine,khaaa acheni wivu bn
Yaani mi nashindwa kuwaelewa watu,inamaana kama kuna gaidi linataka kulipua nchi asifuatiliwe mawasiliano yake kisa usiri?hakuna kitu kama hicho na mkumbuke kuna taasisi zilizopewa mamlaka haya kisheria ambao ni Polisi,Takukuru,hawa wanauwezo wa kuchunguza au kufuatilia kama kuna Jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.