Ukristo una nguvu kuliko hizo Satanist zako na Satans ndo maana jina la Yesu ni kiboko ya nguvu zote za giza,pia wakristo tunajua mwili ni kama jumba tu, Kama huujui ukristo ni Bora ukae kimya ufunge huo mdomo🚶🚶🚶🚶🚶
ACHA KUTUCHAFUA HATUPO HVYO
KAMA HUWAJUI WACHAGA UKIKAA KIMYA HUPUNGUKIWI KITU, CHAFUA KABILA LAKO KULIKO KUCHAFUA WATU USIOWAJUA.
90%UMEANDIKA UONGO TUPU
Haki ipi wakat mmepotea, haki ya kuua non Muslim au ya kufanya UGAID n achuki zilizowajaa, nyie upendo zero hata wenyew Kwa wenyew hampendanndo maana machafuko huko kwenu
Hujielew ya biblia yanakuhus Nini, biblia tunaiamini mia mia na ndo maana tunaidoma na huwez kumkuta mkristo mwenye uelewa anasoma kuran maana sio kitabu Cha Mungu lakin huwez kutukuta tukibishana na nyie kuhus kuran yenu tunadili na yanayotuhusu, tunakushangaa unayetaka ukristo uwe sawa na...
Nyie mmejaa Majin kuliko dini yeyote maana mwenye mapepomnayapooza na kusema kiti kasema hivi na Hiv kama lin shetani akabembelezwa badala mumtoe, pia Kwa mwamposa waliojaa huko ni waislam na wanaanguka mapepo vibaya mnoo
Nyie mmejaa Majin kuliko dini yeyote maana mwenye mapepomnayapooza na kusema kitu kasema hvi na Hiv kama lin shetani akabembelezwa badala stole, pia Kwa mwamposa waliojaa huko ni waislam na wanaanguka mapepo vibaya mnoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.