Saudia na Indonesia hio sheria ipo na watoto wa miaka 9 hawaolew mbona
Ila ninacho kwamba ni kuwa sheria haija sema kuwa mtoto wa miaka 9 ni lazima aolewe
Kwa kuwa wewe ni mkristo umeshikilia Apo kuchafua waislam
Naishia apo
Mimi mjinga sawa
Ila nikupe mfano mwepesi
Kenya mirungi ni halali ila
Tanzania ni halamu
Ila Tanzania nayo ikibadili sheria na kusema mirungi ni halali
Haita maanisha kuwa wa Tanzania tunatakiwa tele mirungi
Kwani hio sheria ina sema ni lazima mtoto wa miaka 9 aolewe au
Maana ndoa ni jambo la makubaliano kati ya muowaji na muolewaji
Na kuna taratibu zake zakufwata
Kwani hio sheria ina sema ni lazima mtoto wa miaka 9 aolewe au
Maana ndoa ni jambo la makubaliano kati ya muowaji na muolewaji
Na kuna taratibu zake zakufwata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.