Simba imefanya maamuzi mabovu kwenye usajili wa Asante Kwasi,imesikiliza mapendekezo ya mashabiki badala ya mwalimu
Kwasi sio mbaya ila hana uwezo wa kucheza simba kwenye kikosi cha kwanza,anaweza kwa Simba lakini sio kucheza kama mchezaji tegemeo.
Kwenye mchezo wa jana alifanya makosa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.