Vidonge vya mara ya kwanza nlikuta vimevungwa kwenye tishu na hilo kopo la pili nimekuta kwenye pochi vipo sildi ndo maana nikauliza na kuhusu uzima mm n mzima kabisa maana niliemkuta navyo sio demu wangu
Nina rafiki yangu anapitia mengi nyumban kwako mama yake anamchukia kinyama na anaonyesha wazi kabisa ashawahi kumwambia kuwa yeye n mzigo bora abaki tu shule hiyo n kipindi anasoma hata akiwa nyumban anamfanyia visa ili tu asikae kwa amani
Vijana wengi wanapambana sana lakini hawafanikiwa, kila wakijitahidi kujitoa kwenye janga la umasikini wanashindwa kabisa. Unashangaa tu mambo yako wala hayaendi, unafanya hivi na vile lakini hakuna kitu.
Umekuwa na ndoto zako za muda mrefu, unaamini zitakupa sana pesa, unajipanga lakini ghafla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.