Kuna tofauti kati ya kuhudumia na mizinga, kitendo cha demu kuomba hela Leo, then baada ya siku mbili anaomba tena na tena, ni kila siku kana kwamba ww unatengeneza pesa huo ni ni usumbufu na hiyo ndio inaitwa mizinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.