Huwa nashangaa sana watu hasa wale mashabiki wa UTO kuropoka na kubwata kuwa Simba ni mbovu!hii si kweli, kwasababu ukiangalia kwa vigezo vyote mwishoni unaona Simba SC kwa Afrika Mashariki ndio timu Bora,lakini kwanini hujiweka kwenye maneno Simba ni mbovu,Moja ni kupata matokeo waliyokuwa...