Hmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm je inakuaje kwa watu waliopata sup wakaclear mwaka jana? Coz na wenyewe hawajapangwa na siyo fair mtu kaenda jkt kakaa iddle two years sometime serikali iwe na huruma jaman looooooooooh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.