Recent content by Prettah

  1. Prettah

    Toka nimwambie naumwa hajanitafuta kunijulia hali, ananifaa kweli huyu?

    Kiukweli mtu wa hivyo hayuko kimapenzi na wewe bali yuko kimaslahi kabisa wala haina ubishi. Kama huamini mwambie umepona utaona atakavyoanza kutuma meseji mara ooh baby unajua leo sina hiki.... Fungua macho
  2. Prettah

    Mtoto wa miaka 8 apakwa chumvi makalioni na kupigwa kwa waya na Baba yake mzazi kwa tuhuma za kuiba 1,200

    Ugumu wa maisha ndio unachangia wazazi kuwa na stress kiasi cha kuwaadhibu watoto adhabu wasizo stahili. Mimi nilishawahi mchapa Mtoto mpaka akawa hatoi tena chozi kisa utundu akiona nimetoka kazini anaenda kujificha ili tu tusionane akawa ananiogopa Sana hata kunisogelea. Baadae mama mmoja...
Back
Top Bottom