Recent content by pretoria

  1. P

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    sisi tunaandika habari za majizi haijalishi inawaathiri vipi wezi bali mustakabali wa taifa hili kwa kizazi hiki na kijacho
  2. P

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    KWAHIYO kutokuandika habari za Nicol kunaondoa haki kwa gazeti la Nipashe kufuatilia madudu ya kina Muhongo ?
  3. P

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    Mengi alijitokeza hadharani kukanusha na akamuomba MUHONGO athibitishe hadharani umiliki wa hekari hizo alizopewa mzee Mengi...mpaka sasa mUHONGO KACHEMSHA
  4. P

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    kama umetapelewa fedha za NICO, ndio tuache kuandika wizi wa ESCROW ? kwanini tuache kuandika fedha za Escrow sisi kama chombo cha habari...mbona The citizen walipoliibua hili hakusakamwa mmiliki wake ?
  5. P

    Mhariri wa Nipashe ana ajenda na kazi maalum

    mimi ndio Mhariri wa Nipashe , Mzee Mengi hatushinikizi, bali sisi wenyewe kwa uzalendo wa taifa hili changa tumeamua kufanya kazi ya UMMA.
  6. P

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Young People Bring Glory To Africa But Old People Cause Problems " GoodLuck Jonathan.
  7. P

    ITV/Radio One, huyu mwandishi wenu wa Musoma ni muongo

    Marato ni huyu hapaaa
  8. P

    Nimekuja kumjibu Zitto niendelee na majukumu mengine

    Zitto moja ya wanasiasa ndumilakuwili nchi hii, anapokua anasaka mkate wake wa kila siku yuko tayari kwa lolote shari au balaaa
  9. P

    Akili Ndogo Kushindana na Akili Kubwa: Ona CV ya Mbunge Lema na CV ya Zitto!!

    usiumize kichwa , huyo jamaa kachanganyikiwa kitambo , hazimtoshi, anaangahika,umri na matendo yake haviendani asilani ! bichwa nazi huyo
  10. P

    mimi mgeni , nikaribisheni ndugu zangu

    mimi ni raia wa Tanzania , mkazi wa Shimo la Udongo, nimekua msomaji wa mijadala humu kwa miaka mingi, nami naja kuongeza michango ya hapa na pale.
  11. P

    SWALI: Nani Kamuona Mbunge wa MOSHI MJINI Bungeni au Jimboni?

    watu wasioweza kufikiri sawasawa wanaweza kuzungumza sawa na wewe ! kwani kuna viti maalumu wangapi wako busy majimboni ?
Back
Top Bottom