Hapo ni Mungu tu na juhudi zako kumuweka Mungu mbele ndo zinaweza kukutoa hapo. Ila hyo vita ni Kali saana. Hiyo sauti inakuaga na nguvu saana alafu ukishamaliza unajitukana wee na kujiona mpumbavu na Una APA hautorudia tena. Mwisho wa siku unafanya yaleyale
Najua wengi tunapitia changamoto mbali mbali zinazopelekea kujiuliza kama kweli Mungu yupo.
Binafsi kuna changamoto nazipitia ambazo mara kadhaa zimenifanya nijiulize hili swali. Lakini kitendo cha kwamba bado naishi na sijapata hata nguvu za kuumaliza uhai wangu mwenyewe naamini kweli Mungu...
Nawaza kuanzisha mashindano ya mchezo wa draft kitaifa. Ni mchezo ambao vijiwe vingi upo na kila kijiwe kina mbabe wake. Na ni mchezo unapendwa na wengi. Swala ni kuandaa proposal nzuri ili ipate na wadhamini pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.