Sisi tupo busy kupigania katiba mpya hili tapeli la kiha lipo busy kusifia mikopo ya bikimzikazi ili lisije likatimuliwa kama lilivyotimuliwa ukuu wa mkoa
Kwahiyo chadema wanastahili kutekwa na kuuawa? Mzee haitawasaidia chochote mnajitafutia laana ya milele nyinyi ndio mnamharibia huyo mama kwa tamaa zenu za mali na pesa!! Sasa zile asilimia 98 alizopata mbona bado anahangaika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.