Mtu gani atafutwe kwa njia hii.
Ina maana hata wewe ukijitolea kuwa rafiki wa kawaida au ushauri ndo unatafutwa.
Watu wengine huogopa kutoa ya MOYONI. Mwao na kujifia ndani kwa Sampuli ya watu Kama nyie.
Maana kutwa Ni kutafuta negative na ukosoaji mdogo mdogo hata sehemu isiyohusika.
Sasa mfano...
Hapana hata kidogo hii Ni ya pili na Mimi nipo humu miaka
Sema Kama nilivyosema Kuna Ile Hali unakutana mtu yupo so desperate Hali ya kukata tamaa uwezo wako unakushawishi walau umsaidie unapoweza
Hata wewe najua huwa unasaidia na si lazima kusaidia kuwe mfumo mmoja.
So nikaona huyu nimtafutue...
Najua buy Ni muda was kazi
Ukitulia sio ndefu especially Kama Ni msomaji was vitabu
Ukimaliza kazi ukitulia huku unakunywa Pepsi bardi ndo utasoma vizuri na kuelewa
Hapana Wala ukisoma hii Ni ya pili tu.
A ukweli mtaani huku Kuna Mambo mengi Kuna watu wanajiua kwa kukosa furaha to ya maisha.
Sasa unakutana na mtu unaamua kumfariji kwa njia unayoona anaweza akapata faraja.
Mfano yule Dada mwingine ameanza kutabasamu..
Na wengine hawana interest na mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.