Recent content by Preciouss

  1. Preciouss

    Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

    Yaani Ni maajabu sana
  2. Preciouss

    Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

    Vitoto vya chuo utavijua tu
  3. Preciouss

    Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

    Pathetic human being why mnapenda kutusi.ujinga na ukosefu wa akili low IQ
  4. Preciouss

    Mwanaume Muislam safi anahitajika

    All the best.
  5. Preciouss

    Shugga Mama anataka Gari yake irudi haraka

    Kesho wewe na jamaa yako Ni kipapai tu
  6. Preciouss

    Shugga Mama anataka Gari yake irudi haraka

    Akirushiwa jini je? Au akajikoki kwa Babu kwanza ili majini yasimuone
  7. Preciouss

    Shugga Mama anataka Gari yake irudi haraka

    Watu mna uchungu na Gari la mama waachieni vijana waenjoy mama pesa anayo atanunua yeye alivyomtumia kijana wa watu jasho zikawa zinamtoka je?
  8. Preciouss

    Shugga Mama anataka Gari yake irudi haraka

    Unahusika Sana Mana unatamba nalo pia Sasa majini yatawatafuna wote
  9. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Mtu gani atafutwe kwa njia hii. Ina maana hata wewe ukijitolea kuwa rafiki wa kawaida au ushauri ndo unatafutwa. Watu wengine huogopa kutoa ya MOYONI. Mwao na kujifia ndani kwa Sampuli ya watu Kama nyie. Maana kutwa Ni kutafuta negative na ukosoaji mdogo mdogo hata sehemu isiyohusika. Sasa mfano...
  10. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Hapana Mimi Nina familia. Ila nimeona hapa jukwaani Wapo wahitaji wengi.. WaPm
  11. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Hapana hata kidogo hii Ni ya pili na Mimi nipo humu miaka Sema Kama nilivyosema Kuna Ile Hali unakutana mtu yupo so desperate Hali ya kukata tamaa uwezo wako unakushawishi walau umsaidie unapoweza Hata wewe najua huwa unasaidia na si lazima kusaidia kuwe mfumo mmoja. So nikaona huyu nimtafutue...
  12. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Najua buy Ni muda was kazi Ukitulia sio ndefu especially Kama Ni msomaji was vitabu Ukimaliza kazi ukitulia huku unakunywa Pepsi bardi ndo utasoma vizuri na kuelewa
  13. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Duniani Kuna mambo kweli
  14. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Haaa haaaa hutaki zawadi na nyongeza ya zawadi
  15. Preciouss

    Je, ungependa zawadi ya Mtoto awe Wako?

    Hapana Wala ukisoma hii Ni ya pili tu. A ukweli mtaani huku Kuna Mambo mengi Kuna watu wanajiua kwa kukosa furaha to ya maisha. Sasa unakutana na mtu unaamua kumfariji kwa njia unayoona anaweza akapata faraja. Mfano yule Dada mwingine ameanza kutabasamu.. Na wengine hawana interest na mitandao...
Back
Top Bottom