Wakuu,
Baada ya mwili wa Temba kuopolewa huko Tabata uliibuka mwili mwingine maeno ya Daraja la Salender, ukionekana kuwa ni wa mwanaume, polisi walifika na kuchukua mwili na kuondoka nao.
Mpaka leo hakuna taarifa yoyote juu ya mwili huo, ni nani, ametokea wapi, amekutwa na majeraha gani, nk...
Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee?
Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo.
Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
Wallah tena nawaambia, ukiwa kwa mbali unaweza kudhani macho na masikio vinakudanganya maana muonekano wake unakufanya udhani ni mtu mwenye busara na maarifa, kichwani kuna nondo za kutosha, na moyoni amejaza utu na upendo!
Msogelee sasa, ndio utajua kumbe fala falasi, mbinguni hayupo, akhera...
Anaandika Askofu Bagonza Aprili 17;
TUME YA CHANDE INAONEWA
1. Lipo kundi limeipinga tume ya Jaji Chande tangu kuundwa kwake. Sababu yao kuu ni muundo wake na jinsi ilivyopatikana. Hawa wana haki hata ya kukataa matokeo ya tume pale itakapotolewa hadharani.
2. Lipo kundi la pili linalokosoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.