Recent content by Precious Diamond

  1. P

    PostGE2025 Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Sheik sharif majini, tindwa walikuwa wanaandamana wapi ndugu? Mpaka auliwe nduguyo wa damu ndo akili itarudi ndugu chawa?
  2. P

    PostGE2025 Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Viongozi wa Dini kwanini hamjakemea serikali iwajibike juu ya mauji yaliyotokea Oktoba 29? Ni viongozi wachache kukotoka Katoliki na mmoja mmoja kama Bangonza lakini wengi mlikaa kimya kama vile vijana wenu hawajauliwa. Kwanini kama moja ya majukumu yenu ni kukemea pale serikali inapotoka nje ya...
  3. P

    PostGE2025 Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Kivipi though wakati watu hawatoi hela, ni mkutano wa wazi na wananchi na wewe unaweza kushiriki ukatuma dongo lako hata kwa kuliweka hapa JF?🤔
  4. P

    PostGE2025 Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025

    Imeanza, nasubiri kuona mjadala utakuwaje! Watu watatoa kweli nyongo zao?
  5. P

    Nafasi ya Polepole yajazwa, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule apangiwa kuwa Balozi nchini Cuba

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kuwapangia vituo mabalozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mabalozi waliopangiwa vituo ni kama ifuatavyo:- (i) Balozi Togolani Edriss Mavura...
  6. P

    Rais Samia kwa Rais wa Ghana: Kila kitu kipo salama Tanzania baada ya uchaguzi

    Ya kweli haya ndugu zangu? Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua? ===== "Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya udhibiti baada ya uchaguzi wetu wa Oktoba. Sasa nchi imerejea katika hali ya kawaida na tunaendelea...
  7. P

    UAE, Kuwait zasema 4 wauawa, 90 wajeruhiwa katika mashambulizi ya Iran

    Falme za Kiarabu (UAE) na Kuwait zimesema kuwa watu wanne wameuawa na wengine 90 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) kutoka Iran, kufuatia shambulio la Marekani na Israeli dhidi ya Iran. Wizara ya Ulinzi ya UAE imesema katika taarifa yake kuwa mifumo...
  8. P

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Israel + Marekani vs Iran

    Kwa miaka mingi, Marekani na Israel zimekuwa na hofu kuwa Iran inatengeneza bomu la nyuklia. Israel anaamini bomu hilo likikamilika, Iran italitumia kuifuta nchi yao kwenye ramani, hivyo wamekuwa wakitafuta namna ya kuzuia mpango huo kwa nguvu. madarakani Januari 20, 2025, aliweka msimamo mkali...
  9. P

    Ni rahisi kuingia na gari binafsi Kenya kuliko Zanzibar! Tunaua bonge la fursa la kiuchumi

    Sidhani kama Wazanzibari wanapata shida sana kuja na magari yao private kama ilivyokuwa Wabara kwenda Zanzibar. Yaani unakumbana na vikwazo chungu nzima mpaka mwenyewe unaghairi, afu eti tuna muungano, ni kituko! Ukiondoa utalii Zanzibar ni kama vijiji tu vilivyounganishwa pamoja, hakuna...
  10. P

    Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa 'Balozi' na mtu mkubwa CCM 'atekwe', ukimya wa serikali na chama unatisha!

    Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa Balozi wa Cuba na mwana CCM aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo Ukatibu Uenezi 'adaiwe kutekwa' na 'watu wasiojulikana' October 6, 2025. Ungetegemea serikali ihangaike kutokana na hadhi ya mtu huyu aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, mtu...
  11. P

    'Wakatoliki' zaidi ya 100 wameandamana mpaka ubalozi wa Vatican bila kukamatwa? Inafikirisha!

    Bora hata wangechukua wagu wanaojielewa.... ila mtu mwenye akili huwezi kukubali kufanya upuuzi kama huo!
Back
Top Bottom