Recent content by Precious Diamond

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Tuuane na mapenzi, au vipi Boss? Kitaeleweka tu!
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    SIo kwamba yeye aliyaendeleza hadi akawa fundi, maana mtangulizi wake nae alikuwa mafia vile vile!
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Ni hatari aisee, lkn pia inawezekana ni mchezo kama jinsi panya road wanavyoibuka na kupotea angani!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Ana undugu na mwimbaji Temba, mwili wake uliopolewa mwanzoni kabisa maeneo ya Tabata
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Wakuu, Baada ya mwili wa Temba kuopolewa huko Tabata uliibuka mwili mwingine maeno ya Daraja la Salender, ukionekana kuwa ni wa mwanaume, polisi walifika na kuchukua mwili na kuondoka nao. Mpaka leo hakuna taarifa yoyote juu ya mwili huo, ni nani, ametokea wapi, amekutwa na majeraha gani, nk...
  6. P

    JamiiForums Tanzania KERO Hii foleni Mbezi Beach barabara ya chini ni kiboko, hadi bajaji na baiskeli zinakwama!

    Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee? Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo. Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Ukimuona kwa mbali utafikiri hana akili, ukimsogelea ndio utajua kuwa ni mweupe amejaa funza, hakuna utafanya cha kumsaidia!

    Wallah tena nawaambia, ukiwa kwa mbali unaweza kudhani macho na masikio vinakudanganya maana muonekano wake unakufanya udhani ni mtu mwenye busara na maarifa, kichwani kuna nondo za kutosha, na moyoni amejaza utu na upendo! Msogelee sasa, ndio utajua kumbe fala falasi, mbinguni hayupo, akhera...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Kuna kundi linaipongeza Tume ya Chande hata kabla ya ripoti kutolewa, linaichafua Tume ya Chande

    Anaandika Askofu Bagonza Aprili 17; TUME YA CHANDE INAONEWA 1. Lipo kundi limeipinga tume ya Jaji Chande tangu kuundwa kwake. Sababu yao kuu ni muundo wake na jinsi ilivyopatikana. Hawa wana haki hata ya kukataa matokeo ya tume pale itakapotolewa hadharani. 2. Lipo kundi la pili linalokosoa...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wa Kyela FM walioripoti kuhusu Afande aliyetoa kero kwa Mwigulu 'kutoweka', wamekamatwa na polisi

    Halafu wanakwambia majibu ya tume yanakuja kuliponya taifa! Shubaamit
Back
Top Bottom