Viongozi wa Dini kwanini hamjakemea serikali iwajibike juu ya mauji yaliyotokea Oktoba 29? Ni viongozi wachache kukotoka Katoliki na mmoja mmoja kama Bangonza lakini wengi mlikaa kimya kama vile vijana wenu hawajauliwa. Kwanini kama moja ya majukumu yenu ni kukemea pale serikali inapotoka nje ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kuwapangia vituo mabalozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mabalozi waliopangiwa vituo ni kama ifuatavyo:-
(i) Balozi Togolani Edriss Mavura...
Ya kweli haya ndugu zangu?
Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua?
=====
"Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya udhibiti baada ya uchaguzi wetu wa Oktoba. Sasa nchi imerejea katika hali ya kawaida na tunaendelea...
Falme za Kiarabu (UAE) na Kuwait zimesema kuwa watu wanne wameuawa na wengine 90 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) kutoka Iran, kufuatia shambulio la Marekani na Israeli dhidi ya Iran.
Wizara ya Ulinzi ya UAE imesema katika taarifa yake kuwa mifumo...
Kwa miaka mingi, Marekani na Israel zimekuwa na hofu kuwa Iran inatengeneza bomu la nyuklia. Israel anaamini bomu hilo likikamilika, Iran italitumia kuifuta nchi yao kwenye ramani, hivyo wamekuwa wakitafuta namna ya kuzuia mpango huo kwa nguvu.
madarakani Januari 20, 2025, aliweka msimamo mkali...
Sidhani kama Wazanzibari wanapata shida sana kuja na magari yao private kama ilivyokuwa Wabara kwenda Zanzibar. Yaani unakumbana na vikwazo chungu nzima mpaka mwenyewe unaghairi, afu eti tuna muungano, ni kituko!
Ukiondoa utalii Zanzibar ni kama vijiji tu vilivyounganishwa pamoja, hakuna...
Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa Balozi wa Cuba na mwana CCM aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo Ukatibu Uenezi 'adaiwe kutekwa' na 'watu wasiojulikana' October 6, 2025.
Ungetegemea serikali ihangaike kutokana na hadhi ya mtu huyu aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini, mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.