Recent content by Precious Diamond

  1. P

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kazi ya kuilinda Tanzania ni yetu sote!

    Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika mkutano na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika leo, Julai 30, 2026, jijini Dar es Salaam, amesema jukumu la kuilinda Tanzania ni la kila Mtanzania. "Kazi ya kuilinda Tanzania ndugu zangu ni yetu sote." "Hii si nchi ya mmoja kama naavyoongea. Ni...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hakuna mwenye hati ya kusema hii nchi ni yangu nitafanya ninavyotaka

    Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa kilichofanyika leo, Julai 30, 2026, amesema hakuna mtu mwenye haki ya kudai kuwa nchi ni yake na hivyo kufanya anavyotaka "Hakuna mwenye... hati ya kusema mi hii nchi ni yangu kwa hiyo nitafanya ninavyotaka."...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Rais Samia katika kikao na vyama vya siasa leo Julai 30, 2026 amesema hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa nzuri, akibainisha kuwa licha ya hali hiyo, bado kuna upande mmoja ambao unaendelea kutafakari msimamo wake kuhusu masuala ya kisiasa Kwa upande mwingine kisiasa kama mnavyoona tuko...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba Mpya ni hadaa za Serikali kwa Umma

    Abdul nondo anasema..... Ngome ya vijana ACT wazalendo tumesikia kauli ya Makamu wa Rais Dkt.Emmanuel John Nchimbi aliyoitoa tarehe 24/Julai/2026 kuhusu hoja ya KATIBA MPYA. Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel John Nchimbi anasema serikali inataka KATIBA MPYA, Rais Samia anataka KATIBA MPYA na CCM...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Tuuane na mapenzi, au vipi Boss? Kitaeleweka tu!
  6. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    SIo kwamba yeye aliyaendeleza hadi akawa fundi, maana mtangulizi wake nae alikuwa mafia vile vile!
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Ni hatari aisee, lkn pia inawezekana ni mchezo kama jinsi panya road wanavyoibuka na kupotea angani!
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Ana undugu na mwimbaji Temba, mwili wake uliopolewa mwanzoni kabisa maeneo ya Tabata
  9. P

    JamiiForums Tanzania Mwili ulioopolewa Daraja la Salenda wiki iliyopita ni wa nani? Kwanini vifo vya watu kuopolewa vinazidi kuongezeka?

    Wakuu, Baada ya mwili wa Temba kuopolewa huko Tabata uliibuka mwili mwingine maeno ya Daraja la Salender, ukionekana kuwa ni wa mwanaume, polisi walifika na kuchukua mwili na kuondoka nao. Mpaka leo hakuna taarifa yoyote juu ya mwili huo, ni nani, ametokea wapi, amekutwa na majeraha gani, nk...
Back
Top Bottom