hv makao makuu yapo ubungo au posta benjamini mkapa na majina yamebandikwa shm gani msaada kwa aliyepita na tufahamishane maana me nlifanya ile ya kwanza naona sioni dalili za kuitwa.
hv wameanza rasmi lini kuita maana mm nlipigiwa jmos sa tatu uck na namba ya ofcn bt ckupokea kwa wakati na namba ambayo nmeona hapo ni tofauti na nliyopigiwa cjui niamini ipi ni changamoto kwakwel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.