Naomba kuuliza...
Maoni yenu ni nini sasa? Ndio hivyo mambo yanafunuka one after the other, about BM and practically speaking, all those who at any one point wameshika madaraka in Afrika. BM, hayupo peke yake na hatakuwa wa mwisho. Kama common mwananchi nauliza, tutafika kweli?[/FONT]
The name Mwanakijiji limerudiwa zaidi ya mara 15(yes, kumi na tano!!) kwenye hiyo article ya PM's office.
Sasa hiyo huwa tunaita "Chuki Binanfsi", a trait that will always hinder rational thinking and/or a productive response to anything. Shouldn't the PM's office know better jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.