Mmmmmh mtafuta mchumba kwa harakaharaka km yy mwenyewe alivyokuwa na haraka nafikili ni mwalimu, vipi brother unataka kuandika barua ya maombi ya fedha za nauli ya likizo unataka kuambatanisha na cheti cha ndoa ?,maana hiyo haraka haraka imezidi aiseee.nakutakia Kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.