Kwa michango yenu nimegundua hao Aghakan hawana mkataba na NHIF,kwa nn wasimueleze mh akaelewa?.kusema tu hawapokei card haitoshi.Hata cc tunakumbana xana na hayo majibu kwenye Hosp zetu.
Wakicheleweshewa malipo wanakupa tu jibu hatupokei ila hawaelezi kiundani,baada ya muda wanaendelea kupokea...
Ukisema huyo hafai bac utafute wenye uwezo wa kujenga hoja za msingi.kwa sababu hao pia hawapo bac kina Lusindee wanahitajika xana....Like lucinde like Muro.kazi ipo mwaka huu...mipasho tu kila kukicha.Hata kwenye kitchen party hakuna upuuz na majungu kma ya kna lucinde...
Waje jamaa waliotoa ufafanuzi walieleza vipengele ambavyo zitto alitumia kufika conclusion ya hali ya uchumi,na wao wametumia vipengele tofauti.hapo kosa liko wapi?
Haya mambo hayana direct evidence.nasikia asilimia tu hadi nahisi kuchanganyikiwa.mm naangalia ugumu wa maisha na mzunguko wa pesa tu.haya yote niseme tu hali ni tete xana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.