Ile Video aliyopost saa tano usku, hakuwa kanisan alikuwa ashasepa kitambo, Gwajiboy ameingia Vita anayoijua Wala hajakurupuka kuanzisha hili vagi. Unaambiwa hata wale hawakuwa askofu, walikuwa walinzi wake. Kawauza maaskari, akimaliza mfungo wake wa kuliombea taifa mtamuona Tena.
Hawa BETPAWA mbona hawaeleweki. Wamefuta bet zote nilizokuwa nimeweka. Kwenye OPEN hazipo na kwenye SETTLED hazipo pia.. Kuna mwingine amekutana na hii kitu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.