Bila Shaka utakubaliana na mimi kuwa watanzania tunakabiliwa na changamoto nyingi Za kiuchumi, kisiasa na kijamii lakini cha ajabu watangaza nia wamekuwa wakiegea kwenye jambo moja la Rushwa, je masuala mengine ya UMASKINI, AFYA, ELIMU, MIUNDO MBINU KAMA BARABARA, MAJI, KILIMO MBONA HAWAZUNGUMZII?