Recent content by Poqo

  1. P

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Nipo Kanda ya ziwa,kg 50 ya nje yenyewe last week tuliipata pale Kwa mo Kwa 140000 tumeiuza Kwa 160000,Kagera sugar wameanza kutoa sukari kg 25 inapatikana Kwa 71000 jumla tunaiuza 76000-78000,ndugu yangu Kwa mauzo hayo haufanyi biashara ya jumla,ukichukua mifuko 600 lazima uwauzie wanaoenda nao...
  2. P

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Nipo Kanda ya ziwa,kg 50 ya nje yenyewe last week tuliipata pale Kwa mo Kwa 140000 tumeiuza Kwa 160000,Kagera sugar wameanza kutoa sukari kg 25 inapatikana Kwa 71000 jumla tunaiuza 76000-78000,ndugu yangu Kwa mauzo hayo haufanyi biashara ya jumla,ukichukua mifuko 600 lazima uwauzie wanaoenda nao...
  3. P

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    We umesikia story kijiweni ukaja humu kupost uongo,huwezi ukawa na Mataji wa 46 mill na ukaleta mifuko 600,alafu uwe unauza mifuko 10 Kwa siku,kama ni kweli basi upo sehemu mbaya sana kibiashara na unatakiwa uhame hapo ulipo,wenzio wenye mtaji kama huo wanamaliza mzigo within a week,pia faida ya...
  4. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Asante Kwa kumuelimisha yy Yuko too general hasomi between the lines,mi nilisema laki na sabuni ilikuwa starting capital na si mtaji wa kuuza jumla,from nowhere huwezi kuanza kuuza jumla Kwa maskini lazima uanze chini kabisa
  5. P

    Kwa unayetaka kuanza project mpya na kubwa zingatia Hili utanishukuru baadae

    Unapota kuanzisha mradi mpya na mkubwa,mradi unaomini ukiusimamia vizuri utakutoa basi huna budi kuzingatia jambo Hili la mhimu ambalo wengi Huwa tunalisahau kwenye mipango yetu,jambo lenyewe ni Hili hapa; Kuzingatia kuwa wewe ni binadamu na unatakiwa kupata mahitaji ya msingi kama...
  6. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Ina maana ukianza duka Leo Kwa 30 mil hautaweza kuuza Mali yote ndani ya wiki ukapata 30 mill Tena Bali utauza kiasi inaweza kuwa 10mill hiyo ndo utaenda kununua mzigo Tena kuongeza Kwa bidhaa zilizopo Kwa duka
  7. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Ukifanikiwa ukapata maduka madogo 10-20 ya pembezoni ukawateka wote wakawa wananunua Mali kwako hapo utakuwa umewini.Hao tumia mbinu zote wasihame kwako,Mimi dukani Nina wateja wauhakika kama 20 nimewashikilia baadhi ya mbinu ninazotumia 1.nina toroli na pikipiki mteja hana haja ya kuja dukani...
  8. P

    Biashara ya mpunga

    Upo sahihi mkuu,huku kwetu walionunua mpunga Mwaka Jana matumbo joto,walionunua Kwa 105000 na kutunza,Kwa Sasa bei ni 95000,Hali ni tete
  9. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Nikuoneshe kuwa inatosha kuanza? Sukari kg 25=75000 Mafuta Lt 10=40000 Sabuni mche 2=25000 Kiberiti 1=5000 Wembe 1=5000 Sembe kg25=30000 Sabuni unga 4=85000 Kalamu,daftari tenga 40000 Mafuta ya kupaka tenga 80000 Juis na soda 100000 Duka linaanza,kazi kuwasoma wateja wanapendelea nn,mm siku...
  10. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Kwenye duka lolote Kuna Mali za chini na Mali za kwenye ngazi,Kwa wanaofanya biashara ya duka wote concetration kubwa Huwa kwenye Mali ya chini na ndiyo inabeba mtaji mkubwa na ndiyo inayouzika haraka pia faida yake ni kubwa. Kwa anaeanza duka hana budi kuzingatia Hilo,lazima ukomae na Mali ya...
  11. P

    Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

    Inategemea demand ya wateja,minimum 30 mill unaweza kuanza,Kwa maana 20mil inabaki Kwa duka 10mil inakuwa inazunguka,location tafuta eneo ambalo hakuna wenye mitaji mikubwa sana na ambalo Kuna wateja wa kununua wenye mitaji midogo usiogope,Kuna maeneo hata ukiwa na 15 mill unaweza kuuza...
  12. P

    Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

    Namba 2 ni best kwako Kwa kuzingatia yafuatayo,mtaji wako si mkubwa,ni biashara yenye uhakika wa mauzo Kila cku na hii itakusaidia kwenye mahitaji,vifaa vya ujenzi yes ni biashara nzuri ila kama huna capital nzuri itakufrastate na usitamani Tena biashara,Anza na simple business Kisha mtaji...
  13. P

    Kaka yangu ni mwalimu, maisha anayoishi ni mateso

    Watu wanapokea chini ya hapo,utakuta ameshakabidhi ATM card Kwa jamaa
Back
Top Bottom