May God rest your soul in eternal peacee mama Celina Ompeshi Kombani
Hakika wote tutarejea kwake
Mungu akusamehe makosa yako yote na akuhifadhi mahala pema
Kwa miaka mingine ada ni ya zamani kutokana na wanafunzi kugomea mwaka jana ada kupanda.... Hvyo ss tunasubiri student union cost ya sep kuhusu jinsi tutavyolipa ada mpya... Ilibd iwe kwa chuo kizoma sema kutokana na mwaka wa kwanza kuja bila mfahamu mzuri ndipo waliaanza kuwatoza ada mpya
Hapa mtoa mada kwakweli kapotosha taarifa... hali ilivyokuwa ni kwamba raisi alijitahidi kucimmunicate na tcu kuhusu ada ya mwaka wa kwanza na wao walitoa maelekezo ya chuo kutokupandisha ada mpaka tcu itapokaaa sept 14 mwaka huu na kupanga utozwaji mpya wa ada mavyuoni.. Baada ya hyo barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.