Recent content by popoto

  1. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kuna mtu yupo rufiji vipi waweza kwenda?secondari
  2. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Aliye tayari kuja wilaya ya kilwa kutoka mikoa ya Arusha,Manyara,Dar,au Tanga tubadilishane.tuwasiliane kwa pm au hapa
  3. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Aliye tayari kuja kilwa masoko kutoka wilaya yoyote ya mkoa wa Arusha,Manyara au Tanga (mwl wa sekondari) tuwasiliane hapa
  4. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi natafuta mwalimu wa kubadilishana wewe unaniulizia watu
  5. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa sekondari natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kutoka mkoa wa morogoro,Tanga na Arusha aje wilaya ya Kilwa.aliye tayari tuwasiliane kwa pm
  6. P

    mwalimu wa sekondari aliopo wilaya yoyote mkoani MOROGORO na MOSHI tubadilishane.

    kilwa masoko.kama vipi tuwasiliane kwa mawasiliano niliyotoa.
  7. P

    mwalimu wa sekondari aliopo wilaya yoyote mkoani MOROGORO na MOSHI tubadilishane.

    mimi nipo kilwa. kwa anayetaka kubadilishana
  8. P

    Mwalimu anayetaka kuhamia Moshi kutokea KIBAHA, CHALINZE na Dar

    kama upo tayari kuja kilwa tuwasiliane
  9. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mimi nipo KILWA,Mwalimu yeyote wa sekondari anayetaka kuja kilwa tubadilishane.
  10. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwalimu wa sekondari aliopo halmashauri ya wilaya ya KILOMBERO aje wilaya ya KILWA
  11. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwalimu wa sekondari wa kubadilishana kutoka mikoa yoyote
  12. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    hapana ila ni kubadilisha mazingira na mwelekeo wa maisha
Back
Top Bottom