Recent content by popah21

  1. popah21

    KERO Vumbi la koyla changamoto kubwa Kiomoni

    Hilo ni vumbi linalobaki kwenye mimea, Kwa siku kama mbili nyuma kulikua na mvua hapo ndy linaonekana hvyo, fikiria ni vumbi kiasi gani linaloingia ndani ya mapafu ya wakazi wanaoishi maeneo ya karibu,na kwa Hali ilivyo unahisi jamhuri itatumia gharama kiasi gani katika kupambana na kudhibiti TB?
  2. popah21

    KERO Vumbi la koyla changamoto kubwa Kiomoni

    Kiwanda kinaendeshwa Kwa asilimia kubwa na watu kutoka Asia wengi wao ni wahindi, hivyo maneno ya kihindi kuyakut ni sehemu ya kawaida, lkn kama ulivyosema Koyla maana yake ni kaa la moto hivyo kaa Hilo la moto linapochomwa ukichanganya na mawe kunazalishwa vumbi lenye carbon nyingi linaloingia...
  3. popah21

    KERO Vumbi la koyla changamoto kubwa Kiomoni

    Kiwanda kimeanza mwaka 2007, mtaa awali ulikua Kijiji na hadhi ya kua Kijiji ilikuapo tangu mwaka 1942, hivyo Kijiji ndy kilianza na kiwanda kikafata
  4. popah21

    KERO Vumbi la koyla changamoto kubwa Kiomoni

    Wananchi na wakazi wa kata ya Kiomon hususani wanaoishi katika mtaa wa Kiomon tumekua tukipata kadhaa kubwa ya vumbi la Koyla kutoka katika viwanda vinavyozalisha chokaa, hususani kiwanda cha NEELKANTH, kila inapofika majira ya saa 4 usiku kila siku vumbi lisilo la kawaida limekua likifika Kwa...
  5. popah21

    PreGE2025 Vijana ni kundi lililotengwa na uongozi

    Upo sahihi kwenye hilo, ila kwanini wazee wanaendelea kutumika ni kutokana na uzoefu walio nao kwenye mambo mbalimbali, na bado serikali inaona ipo tija ya kuwatumia wazee Ili wawarithishe vijana uzoefu waliokua nao, vijana wengi wa sasa, maadili, subira na ujenzi wa fikra tumbuizi unatufanya...
  6. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro yamepewa mandate ya kusimamia mapango ya AMBONI CAVES ambayo mwanzon yalikua chini ya Mali Kale, ila kutokana Serikali ilichakata na kuona umuhimu wa mapango wakayakabidhi mapango kwa Ngorongoro
  7. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Huruma ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania kwa sisi wananchi wake Iko wapi?
  8. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Suala linawahitaji mawaziri wawil, Maliasili na Utalii pamoja na WAZIRI wa Madini Hawa ndio wanaweza kutusaidia
  9. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Imekua ni changamoto ya muda mrefu hali inayowafanya watu wachukie Serikali yao, tunaomba sana sisi wachimbaji wadogo tuzingatiwe
  10. popah21

    Ombi la wachimbaji wadogo kiomoni kwa mheshimiwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dr. Samia.

    Sisi wachimbaji wadogo kutokea mkoani Tanga wilaya ya Tanga kata ya Kiomoni mtaa wa Kiomoni, tunamuomba mheshimiwa raisi awaamrishe makamishna wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro waweze kutulipa fidia zetu, tumekua tukidai fidia zetu miaka na miaka kutokea mwaka 2021, tunasomesha watoto katika...
  11. popah21

    SoC04 Uundwaji wa Wizara muhimu ya Sayansi na Teknolojia Tanzania

    Niliwahi kusoma andiko moja, lilikua linasema kua moja ya njia ambayo tunaweza tukatransfer science and technology n kuoga kutoka kwa kampuni ambazo tumezibinafsisha, mfano endapo tutabinafsisha kampun Fulani alafu tukawapa watu wetu wafanye nao kazi unadhani haitoongeza uelewa na ujuzi wa...
  12. popah21

    SoC04 Uundwaji wa Wizara muhimu ya Sayansi na Teknolojia Tanzania

    Je tukifanya ubinafsishaji wa taasisi mbalimbali na kuruhusu wawekezaji wafanye uendeshaji wote unadhani itarahisisha maendeleo ya sayansi na Teknolojia nchini? Kama ndiyo mfano taasisi ipi unahisi tukiibinafsisha tunaelekea kwenye Tanzania tuitakayo?
  13. popah21

    SoC04 Uundwaji wa Wizara muhimu ya Sayansi na Teknolojia Tanzania

    Wizara ipo kwa sasa, inaitwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, hapa naona ungeangalia muundo wa hiyo wizara je wizara iliyopo inafanikishaje au inafelishaje maendeleo ya Sayansi na Teknolojia nchini.
Back
Top Bottom