Hilo ni vumbi linalobaki kwenye mimea, Kwa siku kama mbili nyuma kulikua na mvua hapo ndy linaonekana hvyo, fikiria ni vumbi kiasi gani linaloingia ndani ya mapafu ya wakazi wanaoishi maeneo ya karibu,na kwa Hali ilivyo unahisi jamhuri itatumia gharama kiasi gani katika kupambana na kudhibiti TB?
Kiwanda kinaendeshwa Kwa asilimia kubwa na watu kutoka Asia wengi wao ni wahindi, hivyo maneno ya kihindi kuyakut ni sehemu ya kawaida, lkn kama ulivyosema Koyla maana yake ni kaa la moto hivyo kaa Hilo la moto linapochomwa ukichanganya na mawe kunazalishwa vumbi lenye carbon nyingi linaloingia...
Wananchi na wakazi wa kata ya Kiomon hususani wanaoishi katika mtaa wa Kiomon tumekua tukipata kadhaa kubwa ya vumbi la Koyla kutoka katika viwanda vinavyozalisha chokaa, hususani kiwanda cha NEELKANTH, kila inapofika majira ya saa 4 usiku kila siku vumbi lisilo la kawaida limekua likifika Kwa...
Upo sahihi kwenye hilo, ila kwanini wazee wanaendelea kutumika ni kutokana na uzoefu walio nao kwenye mambo mbalimbali, na bado serikali inaona ipo tija ya kuwatumia wazee Ili wawarithishe vijana uzoefu waliokua nao, vijana wengi wa sasa, maadili, subira na ujenzi wa fikra tumbuizi unatufanya...
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro yamepewa mandate ya kusimamia mapango ya AMBONI CAVES ambayo mwanzon yalikua chini ya Mali Kale, ila kutokana Serikali ilichakata na kuona umuhimu wa mapango wakayakabidhi mapango kwa Ngorongoro
Sisi wachimbaji wadogo kutokea mkoani Tanga wilaya ya Tanga kata ya Kiomoni mtaa wa Kiomoni, tunamuomba mheshimiwa raisi awaamrishe makamishna wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro waweze kutulipa fidia zetu, tumekua tukidai fidia zetu miaka na miaka kutokea mwaka 2021, tunasomesha watoto katika...
baraza la mawaziri tanzania
ccm
hifadhi ya eneo la ngorongoro
jamhuri
jamhuri ya muungano
mfundo
mheshimiwa
muungano
ombi
raisi
samia
tanzania
wachimbaji
wachimbaji wadogo
wadogo
Niliwahi kusoma andiko moja, lilikua linasema kua moja ya njia ambayo tunaweza tukatransfer science and technology n kuoga kutoka kwa kampuni ambazo tumezibinafsisha, mfano endapo tutabinafsisha kampun Fulani alafu tukawapa watu wetu wafanye nao kazi unadhani haitoongeza uelewa na ujuzi wa...
Je tukifanya ubinafsishaji wa taasisi mbalimbali na kuruhusu wawekezaji wafanye uendeshaji wote unadhani itarahisisha maendeleo ya sayansi na Teknolojia nchini? Kama ndiyo mfano taasisi ipi unahisi tukiibinafsisha tunaelekea kwenye Tanzania tuitakayo?
Wizara ipo kwa sasa, inaitwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, hapa naona ungeangalia muundo wa hiyo wizara je wizara iliyopo inafanikishaje au inafelishaje maendeleo ya Sayansi na Teknolojia nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.