swala la magonjwa kulipuka ni ngumuu hao cadavers wako sterilized.inshu kuna ukosefu wa heshima kwa mwili wa binadamu.sio ubinadamu huoo maana katika codes za medical students na udaktari kuna kipengele cha kuheshimu mwili wa binadamu.wawajibishwe
swala la viungo hivyo kua ni cadaver kuna ukweli mkubwa hapo na sio jambo geni ila uzembe ni katka disposal ya hivyo viungo baada ya kujisomea.je hakuna sheria inayohusiana na mambo kama hayo ili kuweza kuwabana wahusika.WAWAJIBISHWEE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.