Recent content by pontius pilate

  1. pontius pilate

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    wewe unayesema kifungwe hao wanafunzi utawasomesha nyumbani kwako.au una lab yenye cadaver??usiripoke tu pia tumia akili sio matamvua kufikiria
  2. pontius pilate

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    swala la magonjwa kulipuka ni ngumuu hao cadavers wako sterilized.inshu kuna ukosefu wa heshima kwa mwili wa binadamu.sio ubinadamu huoo maana katika codes za medical students na udaktari kuna kipengele cha kuheshimu mwili wa binadamu.wawajibishwe
  3. pontius pilate

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    swala la viungo hivyo kua ni cadaver kuna ukweli mkubwa hapo na sio jambo geni ila uzembe ni katka disposal ya hivyo viungo baada ya kujisomea.je hakuna sheria inayohusiana na mambo kama hayo ili kuweza kuwabana wahusika.WAWAJIBISHWEE
  4. pontius pilate

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    hii ni shidaa inawezekana ni uchafu wahospitali au vyuo vya udaktarii
  5. pontius pilate

    Nilivyofunga "bao la mkono"...

    Kumchukulia chakula ni jambo la kawaida na kama walikupongeza kwa hilo ni tabia ya kibongo tu ya kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa!kua makin na mbongo
Back
Top Bottom