Apewe wa chadema kwa makubaliano ya kina na mgombea wa cuf, naamin mgombea ubunge kupitia chadema ana mtaji mkubwa wa wanaccm zaid ya hao waliojitokeza, ana uzoefu na siasa za nape hapo, na anayajua mapungufu yake.
Kuna makosa mengi sana ya kitaalamu ktk kufanya tafiti hii ya twaweza, japo inatubeba ccm tusijifariji sana. Wapiga kura weng n vijana na wamedhamiria kupiga kura na wengi wanamuunga mkono lowassa
Ukisema tu ushindi asilimia 100 ujue unaropoka, hata mtoto mdogo atakudharau ww n div five.
Eti ant Ezekiel, hana kitu kabisa.
Ndo maana jamaa yangu nilimshaur amkache.
Tutupieni na video, tuongeze mshikamano.
Nimefurah leo mama yangu ambaye mdogowake alikuwa waziri kupitia ccm atampigia lowasa na ukawa. Sasa mambo yako poa nimeikomboa familia yangu nzima watu 13
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.