Wakuu naleta mrejesho,
Niliingia kwenye kilimo aiseee, nikipata Gunia name tu na wakati niliweka kama 10M ingawa hata shamba nilinunua lakini duuhh kilimo si mchezo, sasa hivi nimeona nirudi dar
Wadau naomba mnielekeze wapi Kwa dar naweza pata Car washi inayoongoza kwenye uoshaji wa gari na kung'oa VITI kuisafisha ikarudi kwenye upya wake?
Gharama si tatizo please
Wakuu, natafuta mabingwa wa kupiga rangi body ya gari irudi kwenye upya wake kama ndo imetoka japani Leo.
Wapi nitawapata? Gharama siyo issue ila ubora ndiyo nautazama.
Msaada tafadhali
Jana wakati naangalia Taarifa ya habari nimeona CRDB Bank wamekuja na Huduma ya CRDB GREEN BOND.
Hii inaweza kuwa Fursa mpya Kwa wenye pesa iliyokaa tu bila kazi.
Embu mwenye kujua zaidi atujuze ili tupeleke sehemu ya pesa tukawekeze huko.
Riba yake ni ngapi? ,Muda wa uwekezaji ni gani? N.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.