Recent content by poah

  1. P

    International airport ndani ya Serengeti ni makosa makubwa kiuhifadhi

    Ipo mbali mbinguni?mtasababisha yale yale ya ngorongoro over population ndani ya ifadhi.fikiria kwanza huo uwanja idadi ya wafanyakaz watao ajiriwa na familia zao wote wataishi ndani ya ifadhi
  2. P

    Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

    Hii ni 100% match fixing, hakuna league hapa.mabeki wanamwacha mtu aruke peke yake
  3. P

    Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

    MAshujaa wamenyimwa penalt Dan Lianga baca karuka na mguu
  4. P

    Barua ya wazi kwa Rais Samia: Kushindwa kutekeleza ujenzi wa Hotel ya TANAPA Chato

    TANAPA ipo hoi haina pesa wanategemea vipesa vya OC kiduchu hawezi maizia ile project.generally taass nying hazina pesa.Serikali wangerudisha utaratibu wa decentralization kama zamani.
  5. P

    PreGE2025 Tundu Lissu: Ili tuweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa Kura!

    Alete hizo lashasha raia waingie mzigon na inzi wa kijani😀
  6. P

    FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

    Shida ya kupewa ahadi alafu uwez hakuna,toka awali wameingia na ugomvi.kocha anashindwa tuliza timu
  7. P

    Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

    Shida hamjajua aina gani za camera zitafugwa.watu mnazani hizi dau au hikvision kuna camera za barabrani zinatumia fiber optic connectivity na ni intellegent camera zipo expensive sana
  8. P

    Kally Ongala tunaokujua tulijua tu kuwa Leo iwe isiwe utawapa Zawadi kutokana na Unazi wako Kwao na Unafiki wako uliopitiliza

    Kwa simba hii hawezi kabisa atamkaba nani na speed ya timu.ilo la kushirikiana lipo wazi kabsa watafanya hivyo
  9. P

    Full Time: Simba SC 3-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025

    niliota usiku hii game Mpanzu atafunga leo
  10. P

    Full Time: Simba SC 3-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025

    Leo Mpanzu atafunga goli kwa mara ya kwanza
  11. P

    Mwenye kumuelewa Kipanya atusaidie

    Nadhani anamanisha ilo kaburi lilikuwa la kuizia Chadema!sasa mpizani amefufuka imebida afanye sweeming pool!!kwa vile presure ipo juu na mwili joto limepanda kavua na nguo za chama!
  12. P

    Duh, Lissu amenichekesha sana, nimecheka mno! Ebu Tazama video hii

    Hii sifia sifia alianza mzee wa Chatto,Tanzabia hatukuwa na huu ujinga before utawala wa JK, Mkapa na mzee Mwinyi.yaan nchi imeingia kwenye ujinga sana
  13. P

    PreGE2025 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

    Nasubiria kwa hamu sana speech ya Lissu!jamaa ana pangilia kama Nyerere au Mandela.
Back
Top Bottom