Habari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Kilichobaki Tanzania ni maandamano yasiyo na kikomo au watu kuingia msituni tu. Wenye mamlaka (wahaini, wauaji, watekaji wafiraji Wezi wa kura, mafisadi na watesi wa wananchi) wako juu ya Sheria. Hawataki demokrasia,utawala WA Sheria, uwajibikaji,haki, majadiliano, maridhiano katiba mpya na...
Naandika Kwa uchungu sana, Mtanganyika mwenzetu TUNDU LISU anasoteswa mahakamani bila kosa lolote, Ili asigombee urais chura kiziwi apite, akajitokeza mh. Mpina Mtanganyika mwenzetu naye kawekewa Pingamizi la kihuni Ili kizimkazi aendelee kutapanya mali za Tanganyika Kwa waarabu.
Watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.