Kilichobaki Tanzania ni maandamano yasiyo na kikomo au watu kuingia msituni tu. Wenye mamlaka (wahaini, wauaji, watekaji wafiraji Wezi wa kura, mafisadi na watesi wa wananchi) wako juu ya Sheria. Hawataki demokrasia,utawala WA Sheria, uwajibikaji,haki, majadiliano, maridhiano katiba mpya na...
Naandika Kwa uchungu sana, Mtanganyika mwenzetu TUNDU LISU anasoteswa mahakamani bila kosa lolote, Ili asigombee urais chura kiziwi apite, akajitokeza mh. Mpina Mtanganyika mwenzetu naye kawekewa Pingamizi la kihuni Ili kizimkazi aendelee kutapanya mali za Tanganyika Kwa waarabu.
Watanzania...
Wakuu habarini.
Yale mapandikizi yenu yamehamia chauma sawa.
Wenye ccm Yao watahamia chauma sawa.
Ccm ni kinyonga ni kweli Haina shida.
Joto la kisiasa na kidiplomasia ni Kali ndani na nje ya nchi ni kweli.
CHADEMA ni chaguo la watanzania na MUNGU MWENYEZI.
Mabadiliko ni lazima nchi hii...
Lisu ni mpango was Mungu, ila huko Lumumba wote ni maajenti wa shetani. No reform no election ni agenda ya Mungu kuikomboa Tz. Vp aliyesema chadema wanataka kununua virus vya mpox SI inseni?
Nashukuru Kwa maelezo mazuri.
Ccm Huwa hawaoni aibu hivi ikitokea wakalazimisha uchaguzi hata Kwa kupika matokeo, hata waangalizi wa ndani na nje wakisusia, au kupiga na kuua watu, mwisho wakajitangaza Kwa mtutu wa bunduki kama miaka yote, je? Plani b ya hii agenda ni ipi?
Habarini wadau!
Hii agenda imekuwa mwiba mkali sana Kwa CCM na machawa wake, wameingiwa mhaho, hawaoni pa kutokea.
Kwa kweli wananchi tukiiunga mkono na ikafanikiwa ndio itakuwa mwisho wa hiki chama Cha machawa.
Mitandao ya kijamii ni njia mojawapo ya kufikisha ujumbe Kwa wananchi Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.