Recent content by Poa 2

  1. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Si sahihi Bunge la Ulaya kusitisha misaada nchi ya Tanzania, mapendekezo hayo yanafaa kupingwa kwa nguvu zote

    Kilichobaki Tanzania ni maandamano yasiyo na kikomo au watu kuingia msituni tu. Wenye mamlaka (wahaini, wauaji, watekaji wafiraji Wezi wa kura, mafisadi na watesi wa wananchi) wako juu ya Sheria. Hawataki demokrasia,utawala WA Sheria, uwajibikaji,haki, majadiliano, maridhiano katiba mpya na...
  2. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    W Mku....ndu kazungumze na mama yako DO tutaelewana tuuu
  3. Poa 2

    JamiiForums Tanzania Tumedhibiti maandamano kikamilifu bado kundi la Redcross 26

    Sema tumevunja katiba kikamilifu kwani maandamano ni kosa we chawa
  4. Poa 2

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jeshini kwa moto: Wakataa kutumika kisiasa na wanahoji kwanini Magari ya Jeshi yanapigwa Chata za CCM pale Keko?

    Hiyo ni hatua inayofuata watawala wakiendelea kuziba maskio
  5. Poa 2

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bishop Kabigumila: Nimenusurikwa kutekwa, baada ya kupost video ya Kapten Tesha

    Pole sana Mungu akulinde
  6. Poa 2

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Kyumamakoye
  7. Poa 2

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wazanzibar wawili wajibakisha kuwania urais wa JMT

    Naandika Kwa uchungu sana, Mtanganyika mwenzetu TUNDU LISU anasoteswa mahakamani bila kosa lolote, Ili asigombee urais chura kiziwi apite, akajitokeza mh. Mpina Mtanganyika mwenzetu naye kawekewa Pingamizi la kihuni Ili kizimkazi aendelee kutapanya mali za Tanganyika Kwa waarabu. Watanzania...
  8. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kuipa Majimbo CHAUMMA na kukifanya chama kikuu upinzani Bara

    SaSa Matusi ya nini wewe bichwa maji la kijani
  9. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kuipa Majimbo CHAUMMA na kukifanya chama kikuu upinzani Bara

    YES ndicho nilichomaanisha mkuu lkn nasikika mods wameunganisha Uzi wangu
  10. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kuipa Majimbo CHAUMMA na kukifanya chama kikuu upinzani Bara

    Wakuu habarini. Yale mapandikizi yenu yamehamia chauma sawa. Wenye ccm Yao watahamia chauma sawa. Ccm ni kinyonga ni kweli Haina shida. Joto la kisiasa na kidiplomasia ni Kali ndani na nje ya nchi ni kweli. CHADEMA ni chaguo la watanzania na MUNGU MWENYEZI. Mabadiliko ni lazima nchi hii...
  11. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

    Lisu ni mpango was Mungu, ila huko Lumumba wote ni maajenti wa shetani. No reform no election ni agenda ya Mungu kuikomboa Tz. Vp aliyesema chadema wanataka kununua virus vya mpox SI inseni?
  12. Poa 2

    JamiiForums Tanzania Tofauti 20 katı ya Freeman Mbowe vs Tundu Lissu

    Mbowe muoga analinda Mali zake lisu sio muoga mwaka huu mtaisoma
  13. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 'No Reform, No Election' ni agenda sahihi Kwa wakati sahihi tuiunge mkono

    Nashukuru Kwa maelezo mazuri. Ccm Huwa hawaoni aibu hivi ikitokea wakalazimisha uchaguzi hata Kwa kupika matokeo, hata waangalizi wa ndani na nje wakisusia, au kupiga na kuua watu, mwisho wakajitangaza Kwa mtutu wa bunduki kama miaka yote, je? Plani b ya hii agenda ni ipi?
  14. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 'No Reform, No Election' ni agenda sahihi Kwa wakati sahihi tuiunge mkono

    Niongezee maarifa mkuu kama unafahamu Kwa kina kuhusu agenda, ikiwezekana jaribu kujibu vijiswali vyangu hapo juu
  15. Poa 2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 'No Reform, No Election' ni agenda sahihi Kwa wakati sahihi tuiunge mkono

    Habarini wadau! Hii agenda imekuwa mwiba mkali sana Kwa CCM na machawa wake, wameingiwa mhaho, hawaoni pa kutokea. Kwa kweli wananchi tukiiunga mkono na ikafanikiwa ndio itakuwa mwisho wa hiki chama Cha machawa. Mitandao ya kijamii ni njia mojawapo ya kufikisha ujumbe Kwa wananchi Kwa...
Back
Top Bottom