Tatizo la uchawa linamaliza uwezo wa kufikiri.
Kwa akili yako fupi huoni hayo malori yanastahili kupigwa chain za jiji kama zinavyofanyiwa gari nyingine zikipaki hovyo!
Napendekeza tulipie na kodi ya kuwa hai...mtoa mada kama upo serious jitafakari dunia ya leo si ya kuwaza kodi ikujengee nchi.
Rasilimali tulizonazo zingesimamiwa uzuri hizi kodi wananchi wangechangia bila kuvutana mashati.
Hizi vita ni maigizo na wanaoumia ni raia wa kawaida,hebu fikiri kuhusu vita ya russia na ukraine ati walipigana miaka karibu miwili huku tukiaminishwa Russia ana nguvu kubwa ya kivita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.