Umeainisha mapungufu karibu yote,haya mambo ni utaratibu wa miaka yote ila tofauti ni kuwa anko aliweka wazi mambo yake iwe mabaya ama mazuri.
Utekaji,dhulma kwa wapinzani kuanzia awamu ya tatu yalifanyika lakini nyuma ya pazia!
Unaweza kuwa sahihi kuwa ubaya unaweza kufanywa na mtu nje ya mfumo ili kuchafua waliopo kwenye utawala... lakini nilichoshindwa kumtetea rafiki yako aliyetajwa ni kauli zake zenye ukakasi tena mbele ya hadhara,mfano mdogo ni kusema najaribu kunukuu "kuna mtu anatumika kutoa taarifa za ndani ili...
Kama kahusika moja kwa moja jamaa kafeli,ila yaweza kuwa shida ni wanakamati.
Kuna watu ndio harakati zao hizi unaweza kuona wanajitoa kumbe wananufaika kwa namna fulani.
Binafsi hizi harusi napenda iandaliwe kinyumbani hasa upande wa vyakula yaani waalikwa wanashiriki maandalizi na si kamati pekee.
Kwenye 60M ulitoa kiasi gani?
Hiyo sherehe haikua na kamati?
Kwenye zawadi pia kwani mnalazimishwa kutoa ama ni hiari ?
Binafsi nilivyoona heading nikajua mmechangishwa kisha ndoa ikaota mbawa.
NB:sikatai kwenye mambo mengi kuna upigaji hata harusi uliyoitaja,kuna sehemu nilikwenda kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.