Recent content by po sumbe

  1. P

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Kwa sababu huyu ndio wako na mzozo naye ...dunia ina mataifa mengi ambayo huwezi kuyachukulia poa kama una mtifuano nao. China, Russia,France, Israel kwa uchache!
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kwanini ujipe muda,oa sasa ambaye unaona si mdangaji. Haya maisha usipende sana ushauri wa hisia/maarifa ya maisha. Kama ni career jifunze kwa wengine ila style za maisha hakuna na kukufunza dunia hii,huyo mzee anayekushauri hivyo naye yakimkuta utasikia kachinja mke😂.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Sasa kuua si ni mule mule kwenye ukatili!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Watu kama wewe 80% yakiwakuta hufanya matukio mazito,ndugu wanabaki kusema hawakutegemea😂
  5. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mwanao sana jiwe miaka ile,hadi umekumbuka "italic" 😂
  6. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kaka aliyekuchapia anafahamu mahusiano yako na binti? Ulishatambulishana kwenye familia /kulipia mahari? Majibu ya hapa kama ni ndio piga chini huyo binti na mshkaji mpe salamu ndogo tu ila angekua mke mshkaji sina huruma naye.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kaka wewe ni mtu wa visiwa vya ukerewe? Maana nao ndio mambo yao,ukimtenda ubaya hata kama hamna mazoea alijisogeza huku anakuhesabia hatua!
  8. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Ndugu unakosea kwani unazungumzia matokeo,mkewe ndio ilipaswa aage ili ahamie kwa mchepuko. Hii ndio ilikua njia salama .
  9. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Nimesoma kwa kukuonea huruma kabla sijafika kwenye finishingi 😂
  10. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Aise noma sana,ila mama yake sio alikua ajuza? Au uliuma meno tu😂
  11. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Umeeleza vizuri juu ya kutulia na kutafakari kabla ya kuchukua maamuzi, hujaona mtoa mada hadi alipuuza alipoambiwa kabla? Hii inaonyesha alimuamini mkewe,jamaa kampa adhabu kali sana lakini vipi angemtoa uhai kabisa? Kingine mtu anayekufahamu(eneo mloishi) akikuchapia inakua ni dharau pia...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Wewe jiandae kaka inaonekana unapiga mali za watu 😂
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Aise pole sana mkuu japo habari imeishia vibaya kwani huyo 'umemuingiza kwenye ushetani pengine hakuwahi kujihusisha'. Kwa upande mwingine siwezi kukulaumu kwani matukio yanayoumiza nafsi kama hili binafsi naamini litakalomjia kichwani muhusika ndilo litakalotendeka,mtendwa anaweza kukubali...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Update kesi ya Lisu Naona Leo wamefungua box la Pandora la tarehe Ile mbaya kuliko zote tangu tupate uhuru Bora tufanye maridhiano

    Nami nimejiuliza hili swali😂. Mahakamani wanasema sio sehemu nzuri uwe shahidi au mtuhumiwa kujikanyaga ni dk 0.
Back
Top Bottom