Recent content by po sumbe

  1. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    hii list imetoka wakuu!
  2. P

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Tatizo la uchawa linamaliza uwezo wa kufikiri. Kwa akili yako fupi huoni hayo malori yanastahili kupigwa chain za jiji kama zinavyofanyiwa gari nyingine zikipaki hovyo!
  3. P

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    duh inchii hii ngumu sana.
  4. P

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    what reply
  5. P

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Ninazo kodi chungu nzima nalipa,waumize vichwa kwa wanazokusanya sasa waforcus na mipango maendeleo kuliko matumizi zaidi.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Sina nchi ninayo ipenda,kodi ziwe rafiki/realistic na zifanye kazi na kuonekana. Mipango ya maendeleo iwe juu kuliko matumizi.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Mbunge yupi? Sipigi kura mimi zungumza wewe unayekusanya maoni ya kukusanya kodi.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Napendekeza tulipie na kodi ya kuwa hai...mtoa mada kama upo serious jitafakari dunia ya leo si ya kuwaza kodi ikujengee nchi. Rasilimali tulizonazo zingesimamiwa uzuri hizi kodi wananchi wangechangia bila kuvutana mashati.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Kwa hii comment naomba nikushauri kajiunge hilo jukwaa la chit chat unafit kabisa.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani kuudhibiti Mlango bahari wa Hormuz, Rais Trump aanzisha Freedom-Poject kwenye Mlango huo

    Hizi vita ni maigizo na wanaoumia ni raia wa kawaida,hebu fikiri kuhusu vita ya russia na ukraine ati walipigana miaka karibu miwili huku tukiaminishwa Russia ana nguvu kubwa ya kivita.
  11. P

    JamiiForums Tanzania KERO Ninaponunua umeme na kukatwa 3% ya REA na 18% ya VAT si ni sawa na kulinipisha kodi mara 2 kwa kitu kilekile?

    Kaa chini piga hesabu zako vizuri,hizo ni kodi na tozo kwa uchache uliofuatilia. Kila unachogusa imo 😂
  12. P

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kwani ukiteuliwa lazima ukubali? Kama hakukataa basi ni wale wale.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza kuhusu kuuzwa kwa Akiba ya Dhahabu: Tusile Mbegu kama mvua haijanyesha!

    Swali la mwisho ni zito ila linachekesha 😂
  14. P

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza kuhusu kuuzwa kwa Akiba ya Dhahabu: Tusile Mbegu kama mvua haijanyesha!

    Swali la mwisho ni zito ila linachekesha 😂
Back
Top Bottom