Recent content by po sumbe

  1. P

    KERO Kwanini Mwananchi akinunua umeme anakatwa EWURA na REA kwa wakati mmoja?

    Kaa chini piga hesabu zako vizuri,hizo ni kodi na tozo kwa uchache uliofuatilia. Kila unachogusa imo 😂
  2. P

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kwani ukiteuliwa lazima ukubali? Kama hakukataa basi ni wale wale.
  3. P

    Askofu Bagonza kuhusu kuuzwa kwa Akiba ya Dhahabu: Tusile Mbegu kama mvua haijanyesha!

    Swali la mwisho ni zito ila linachekesha 😂
  4. P

    Askofu Bagonza kuhusu kuuzwa kwa Akiba ya Dhahabu: Tusile Mbegu kama mvua haijanyesha!

    Swali la mwisho ni zito ila linachekesha 😂
  5. P

    Ukiwa mzuri, ukisema upo single watu hawaamini kabisa

    Hii point ya mwisho ni muhimu zaidi,ungeanza nayo 😂
  6. P

    Nimeshuhudia mama yangu akisali kwa moyo na imani miaka 15+ ila bado anapitia mateso ya baba. Anaumwa pia, ila baba ndio bado ana enjoy maisha

    Pole kwa changamoto anazopitia mama,kuna mahali kwenye maandiko imeandikwa "kizazi chetu hakitashuhudia uwepo wa Mungu kwa matendo". Naamini utashi wa viumbe vya Mwenyezi Mungu vinaendesha maisha chini ya jua either kwa wema au ubaya. Mfano tunasoma kwa miaka manabiii huko ukifanya ubaya...
  7. P

    Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Pole sana mtoa mada,niliwahi kupita viwandani japo kwa taaluma lakini hata ulipwe kiasi gani sumu na kuchosha mwili ni adhabu kubwa.
  8. P

    Bongo zozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wameporwa uraia wa Tanzania na serikali

    Nikusaidie tu kwa ufupi,hili limeletwa na mifumo mibovu kwenye nyanja ya elimu i.e Div 4-ualimu& vyombo nyeti,elimu ya juu kupatikana kwa kuunga uunga(cheti, diploma hadi degree) Hivi sasa na miaka ya mbele zaidi nchi ndio inakumbana na hii kadhia.
  9. P

    Butiku: Mwenzetu anaburuzwa kwenye basi, tunabung’aa tu, hatusemi anapelekwa wapi?

    Eeh Mwenyezi Mungu kwa utashi wangu nimekuwa nikiamini mambo yanayoendelea kwenye ulimwengu huu umeruhusu yaenende kwa kuongozwa na akili/fikra ulizomjalia mwanadamu. Watenda ukatili na uovu dhidi ya wanadamu wenzao wanafurahia maisha hata pale wanaotendewa wema wakiomba na kushitaki kwako 😢...
  10. P

    Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

    Hili andiko lako kila mwenye akili timamu akilisoma lazima roho imuume.
  11. P

    Pata faida kupitia Betting

    Hapa sasa ndipo wewe utatengeneza faida kwenye betting kwa kumpiga mshambA atakaye jichanganya. NB: Vijana jiepusheni na kamari ni upotevu wa pesa 80%
  12. P

    Tuhuma Vs Amani

    PUMBAVU Funguka akili yako na uzungumzie mambo katika pande mbili,uovu ni uovu tu hata kama kila awamu itafanya.
Back
Top Bottom