Recent content by po sumbe

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Magufuli hakutoa Rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi 2015. Wajumbe walimuunga mkono Lowassa

    Umeainisha mapungufu karibu yote,haya mambo ni utaratibu wa miaka yote ila tofauti ni kuwa anko aliweka wazi mambo yake iwe mabaya ama mazuri. Utekaji,dhulma kwa wapinzani kuanzia awamu ya tatu yalifanyika lakini nyuma ya pazia!
  2. P

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Mtemi Mbojo wa minyinga?
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    😂
  4. P

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Kabisa ni muhimu,hasa mchakato wa wazi pindi mmoja akijiuzulu ama sheria na taratibu zikimbana na kuonekana hafai kuendelea na majukumu.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Mgombea binafsi no mwiba kwa wanaobebwa/kutegemea magenge a.k.a vyama. Ndio maana mchungaji hakupendwa, mwenyezi Mungu ampe pumziko jema huko alipo.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Unaweza kuwa sahihi kuwa ubaya unaweza kufanywa na mtu nje ya mfumo ili kuchafua waliopo kwenye utawala... lakini nilichoshindwa kumtetea rafiki yako aliyetajwa ni kauli zake zenye ukakasi tena mbele ya hadhara,mfano mdogo ni kusema najaribu kunukuu "kuna mtu anatumika kutoa taarifa za ndani ili...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Jinsi matapeli wa mjini wanavyotumia "harusi" kupiga pesa; inauma sana

    Kama kahusika moja kwa moja jamaa kafeli,ila yaweza kuwa shida ni wanakamati. Kuna watu ndio harakati zao hizi unaweza kuona wanajitoa kumbe wananufaika kwa namna fulani. Binafsi hizi harusi napenda iandaliwe kinyumbani hasa upande wa vyakula yaani waalikwa wanashiriki maandalizi na si kamati pekee.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Jinsi matapeli wa mjini wanavyotumia "harusi" kupiga pesa; inauma sana

    Kwenye 60M ulitoa kiasi gani? Hiyo sherehe haikua na kamati? Kwenye zawadi pia kwani mnalazimishwa kutoa ama ni hiari ? Binafsi nilivyoona heading nikajua mmechangishwa kisha ndoa ikaota mbawa. NB:sikatai kwenye mambo mengi kuna upigaji hata harusi uliyoitaja,kuna sehemu nilikwenda kufanya kazi...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Sahihi,watu wanachanganya na vita ya bwana mmoja na nduguyeye (rip)
  10. P

    JamiiForums Tanzania Namtafuta ndugu yangu humu ndani, namba yake haipatikani toka 2022

    Kaka kwema? Vipi mlifanikiwa kupata taarifa ya ndugu yenu?
  11. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Pukutiko linaendelea...

    Tueleze wewe unajua kwa dhahiri...jambo moja tu ata la ujinga wa simba na yanga 🤔
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Kuna mdau ka-like hadi kanirudisha huku. Ulikua sahihi kwa namna fulani,mchakato umeenda tofauti kweli
Back
Top Bottom