Kwa sababu huyu ndio wako na mzozo naye ...dunia ina mataifa mengi ambayo huwezi kuyachukulia poa kama una mtifuano nao.
China, Russia,France, Israel kwa uchache!
Kwanini ujipe muda,oa sasa ambaye unaona si mdangaji.
Haya maisha usipende sana ushauri wa hisia/maarifa ya maisha.
Kama ni career jifunze kwa wengine ila style za maisha hakuna na kukufunza dunia hii,huyo mzee anayekushauri hivyo naye yakimkuta utasikia kachinja mke😂.
Kaka aliyekuchapia anafahamu mahusiano yako na binti?
Ulishatambulishana kwenye familia /kulipia mahari?
Majibu ya hapa kama ni ndio piga chini huyo binti na mshkaji mpe salamu ndogo tu ila angekua mke mshkaji sina huruma naye.
Umeeleza vizuri juu ya kutulia na kutafakari kabla ya kuchukua maamuzi, hujaona mtoa mada hadi alipuuza alipoambiwa kabla?
Hii inaonyesha alimuamini mkewe,jamaa kampa adhabu kali sana lakini vipi angemtoa uhai kabisa?
Kingine mtu anayekufahamu(eneo mloishi) akikuchapia inakua ni dharau pia...
Aise pole sana mkuu japo habari imeishia vibaya kwani huyo 'umemuingiza kwenye ushetani pengine hakuwahi kujihusisha'.
Kwa upande mwingine siwezi kukulaumu kwani matukio yanayoumiza nafsi kama hili binafsi naamini litakalomjia kichwani muhusika ndilo litakalotendeka,mtendwa anaweza kukubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.