Recent content by po sumbe

  1. P

    Robo ya mwaka imeisha tayari, umetimiza mikakati gani?

    Mikoa karibu na makak makuu ya nchi
  2. P

    Robo ya mwaka imeisha tayari, umetimiza mikakati gani?

    Tlaahtlaah H****n Umenikumbusha classmate wangu mmoja
  3. P

    Nina tatizo la usikivu. Je, ninaweza kusomea kozi gani kuendana na hii hali?

    Mkuu pole kwa changamoto unayopitia...mawazo haya ☝️ ni sahihi kuyatumia.
  4. P

    Sielewi kwanini mtu aliyechakachua msaada wa serikali na kujimilikisha enzi za Kikwete, akaondolewa leo anateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa

    Nimekumbuka uandishi wa gwiji wa kiswahili Seif Khatibu(RIP). "Walaji hupendwa sana na tuhuma zikizidi huamishiwa kwa Jana na akale kwa juhudi" hii ndiyo desturi ya viongozi wengi kutoka chama like.
  5. P

    Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

    Mchongo gani wa tolu faza aliushtukia??
  6. P

    Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

    Walau nimepata ka mwanga...nimeielewa line ya mzee ghorofa ya nne🙌
  7. P

    TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

    Pole sana bidada...mzee apumzike kwa amani🙏
  8. P

    Kumbukizi: Video ya Hotuba ya Dkt. Bashiru

    Hizi video huwezi kuangalia mara moja usiirudie maana ni orijino komedi😂😂
  9. P

    #COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

    Kabisa mkuu,tuombe maamuzi ya serikali yasiwe kushurutisha kama majirani zetu Kenya.Kufa kwa njaa ni uhakika kuliko hiyo corona
  10. P

    #COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

    Hakika hili janga la corona linalazimishwa hapa nchini,wanaoshabikia hatua zinazochukuliwa na mataifa mengine no wazi wanafaidika kwa namna moja ama nyingine. Bila aibu kamati ile inapendekeza serikali iangalie uwezekano wa kufungia watu(lockdown)
  11. P

    Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

    Hoja namba mbili bila shaka wahusishwe mabeberu sivyo😂
  12. P

    Kumbukizi: Kauli ya Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni 2020

    Hii kauli naikumbuka...Na maneno ya Capt Komba "CCM ni ile ile" nayazingatia sana.
Back
Top Bottom