Pole kwa changamoto anazopitia mama,kuna mahali kwenye maandiko imeandikwa "kizazi chetu hakitashuhudia uwepo wa Mungu kwa matendo".
Naamini utashi wa viumbe vya Mwenyezi Mungu vinaendesha maisha chini ya jua either kwa wema au ubaya.
Mfano tunasoma kwa miaka manabiii huko ukifanya ubaya...
Nikusaidie tu kwa ufupi,hili limeletwa na mifumo mibovu kwenye nyanja ya elimu
i.e Div 4-ualimu& vyombo nyeti,elimu ya juu kupatikana kwa kuunga uunga(cheti, diploma hadi degree)
Hivi sasa na miaka ya mbele zaidi nchi ndio inakumbana na hii kadhia.
Eeh Mwenyezi Mungu kwa utashi wangu nimekuwa nikiamini mambo yanayoendelea kwenye ulimwengu huu umeruhusu yaenende kwa kuongozwa na akili/fikra ulizomjalia mwanadamu.
Watenda ukatili na uovu dhidi ya wanadamu wenzao wanafurahia maisha hata pale wanaotendewa wema wakiomba na kushitaki kwako 😢...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.