Recent content by PNU

  1. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hii taarifa nahisi watu hawajaelewa na hata Millard Ayo hajaelewa, ECOWAS wametangaza kikosi maalumu kuwa tayari kwa uvamizi ila bado hawajatangaza Kuanza Uvamizi (Declaration of War) maana kuna mvutano. Karibu Nchi zote za ECOWAS zinabidi kupata vibali kwenye mabunge yao kutuma Jeshi kuingia...
  2. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hii taarifa ni ya kweli?, maana kuna route nyngi za kuingia Niger ikiwemo kupitia Algeria [emoji1026].
  3. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hii ngoma imekuwa ngumu ni kwasababu wananchi wa Niger wako upande wa Serikali, ni hicho tu ndo kimefanya mambo kuwa magumu.
  4. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwahyo zoezi linalofuata ni kumuondoa Mfaransa na Mmarekani hapo Niger. Au itakuwa kma Syria watakubaliana wakae wote kwa pamoja?
  5. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Na cha kuongezea tu, Nigeria [emoji1184] ni rasmi imezungukwa na zile nchi ambazo mapinduzi yametokea na sasa ni washirika wa Urusi [emoji635] . Serikali ya Nigeria [emoji1184] ipo kwnye wakati mgumu, maana kma Niger [emoji1183] ikishindikana kuangushwa na ECOWAS basi vile vikundi vya kigaidi...
  6. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    ECOWAS wameogopa kuingia Niger[emoji23], alafu Nigeria [emoji1184] kastuka, kaona mbona Chad [emoji1070] naye kagoma, ina maana akiingiza tu jeshi basi Nigeria [emoji1184] itashumbuliwa kila upade[emoji23][emoji23].
  7. PNU

    Ni movie gani umewahi kuangalia ikakutoa machozi?

    From the Scratch
  8. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu inaonekana Lugha inakusumbua kidogo, wameandika “suspect”, uyo aliyekama anahisiwa au kudhaniwa, hvyo bado wanaendalea kuchunguza kujua ni nani asa aliyechoma hiyo show, kutakuwa na suspects wengi watakaokamatwa.
  9. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Alafu inaonekana kuna kitu kikubwa Russia anakipanga….Leo wapiganaji kutoka Nepal wameingia Urusi kujiunga kwa mkataba sijui itakuwa ni Wagna or something else, Mrusi kuna kizito anakiandaa.
  10. PNU

    Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

    Ninaamini ipo siku hii ishu ita backfire kwake, wanasimba wanakusanya tu taarifa, siku wakiliamsha basi hatakuwa na jinsi zaidi ya kuwaachie wengine wawekeze au akubaliane na vifungu vya wanasimba, Janja janja hainaga maisha marefu.
  11. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Inawezekana mm ndo mtu wa pekee niliyejua toka mwanzo kuwa hii ni mbinu ya kivita, Russia anacheza. Maana kambi ya jeshi lolote haiwezi vamiwa bila resistance, hapo ndipo nika confirm. Tukio kama hili, Mkuu wa majeshi anatakiwa kutoa msimamo wa jeshi lake kabla ya Raisi kuhutubia, hapa nako...
  12. PNU

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Aisee, hivi anayeongoza majeshi ya Ukrain ni nani? Mi nishaanza kudoubt kuwa hawa ni ukrain, nahisi ni majeshi ya NATO, inakuwaje Wa Ukrain uwende kwenye vita wakati mkuu wako wajeshi hajulikani alipo, Raisi kakimbia, hawa watakuwa wanajeshi wa NATO.
Back
Top Bottom