Inawezekana kilichoandikwa ni kweli mimi nanunua na huwa namtumia jamaa yangu yupo China ingawa hajawahi kufunguka direct matumizi yake lakini once kuna daktari wa mifugo aliwahi kuniambia kitu kuwa gallstones zinapatikana kwa ng'ombe wa mabondeni wanaokunywa maji yanayotiririka kutoka milimani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.