Recent content by Pmanga

  1. P

    Hivi ndivyo tutakavyowakimbia mapolisi siku ya maandamano

  2. P

    Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

    Unalijua lengo la Hamas kukua hadi kujiimarisha kwake lilikuwa lipi?, pamoja na intelligence kali ya MOSSAD, unanambia hawakuwa na taarifa za October 7?, amka usingizini ww! Nukuu; "From river to the sea"
  3. P

    Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

    From River to the Sea... Someni mambo ya nyakati ninyi watu, mko Brain washed sana na Propaganda za Mzionist...
  4. P

    Jaribio la kumuua Trump: Nani wahusika? Kwanini?

    Mpango huo ni endelevu na watammaliza hata akiwa madarakani... Trump ni adui na mtibuaji wa biashara yao ya silaha kwa Ukraine na kwingineko kwa hiyo Marekani lazima immalize.
  5. P

    Naomba ushauri wa tatizo langu la hedhi endelevu

    Nakushauri kapime kansa tena kwa kina zaidi. Mke wangu alikuwa na tatizo km lako na tulihangaika sana lakini dakika za mwisho tukaja gundua ana uvimbe ambao sasa ushakuwa saratani iko stage 3...
  6. P

    Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

    Ndo kwanza tar 24, subiri mwezi ukate ndo uanze kulalamika.
  7. P

    SoC04 Tuwalinde na kuwatetea watoto wa Taifa letu dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa kufanya yafuatayo

    Ukatili wa kijinsia kwa watoto ni kitendo chochote anachoweza kufanyiwa mtoto na kikasababishia madhara ya kimwili, kisaikolojia na kiafya. Ukatili wa kijinsia kwa watoto unaweza kusababisha madhara mengi ikiwemo mtoto kutengwa katika jamii, mtoto mwathiriwa wa ukatili kujiua na mateso mengine...
Back
Top Bottom