kujua vitu vingi ambavyo sio muhim kwako ni sawa na kuongea maneno meng ambayo sio suruhisho la tatizo....mtu asiye
na tabia hiyo ni yule tu anaefikiria cha kuandika kabla hajaanza au akishindwa fanya ivyo anamwita mtu aliezid asilimia 50 za kufikilia ili ahalili alichoandika
TCU hiyo kitu ni kama box fulani ivi ambalo lina maji aambayo sio rafiki kwa kiumbe hai. Yaani hilo box limetengeneza upepo alaf wanafunzi wote wanaufata huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.