Walisema pia mjini wajinga wengi zaidi. Na ndio maana karata tatu , sijui shinda gari , tv na music kila siku watu wanawaona hao matapeli wamevipanga pale lakini siku moja na wao hujaribu na kuonja joto yake
Wadau naomba kuuliza kuuliza, juu ya uwepo wa machine za kamari kwenye mitaa mingi jijini hapa serekali inalitambua hilo? Maana nijuavyo mimi mtu anatakiwa kutumia ni lazima awe ametimiza umri wa miaka kumi na nane. Sasa hizi za mtaani hata watoto wanacheza kwani zipo mpaka kwenye magenge ya nyanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.