Umofia wana JF.
Nimeona nitoe maoni ya Mada ambayo imeleta taharuki ingawa kwa wengine waliipotezea tangu kuanza Mchakato wake.
Nimeona watu wakiongea sana kuhusu ripoti ya Judge Chande kuwa ina Ukasuku mwingi ndani yake haina matokeo yenye mvuto kwa Jamii.
Tumekuwa na shida ya kuamini hawa...
Guys wajinga sio Bongo tu na Mwangosi na Dube wana Role Model wao huku England.
I was very FLABBERGASTED a such Professional Player, you turn a clumsy cross while you've an option to score or give a cross earlier before the critical deadlock from the two defenders.
Number of goals this season...
Tume na Report ni vya Rais (Rais Samia) hao wanasiasa wataipata wapi ili waisome. Nadhani kwa sasa Pseudo Politicians watafute namna bora ya survival. No one is Ignorant
Umofia Wadau.
Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA"
Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:-
1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
Kumekucha wana JF
Niende kwenye Mada kiufupi sana.
Binafsi nimekuwa disappointed na hii Wizara. Na Moja ya Jambo la hovyo kabisa ni kusema Vijana watume Maombi kwenye E-mail address ya Wizara of which the email is not authenticated & secured. Kabla hata ya deadline email ilikuwa imejaa...
Ulichoandika hakina authentication & real reflection. Huyu kuna baadhi ya vikombe kachukuwa hata hivyo kuna Nyota wengi sana script kama hii huandika issue sio Mkosi but football timing.
Kwa Uchambuzi huu wewe ni Yanga Kufa na Kuzikana. Mwambieni yule Mvulana wenu anayehangaika na Personal Character/Identity atulie na Timu maana kila kitu ni lazima afanye yeye kinachohusu Pesa (10% ale Mwenyewe). Dogo ana Njaa ya Uongozi (Power Monger) since the Precedent of 2025 Election...
Nyerere hana shida acheni Mzee wangu apumzike kwa Amani. Kuna Mambo mengi yaliondolewa kwenye Katiba
na Zanzibar kupewa Mamlaka ya kuamua kila kitu. Nyerere kwa kiasi kikubwa Aliacha Tanganyika yenye nguvu na Zanzibar yenye Utegemezi kwa babaye Tanganyika mfano mzuri unaotumiwa hadi sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.