Recent content by PLOII

  1. PLOII

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    Game saa ngapi Mkuu? Tuone NIBEBE akihangaika huko Botswana no Kayoko no Arajiga
  2. PLOII

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Naamini umelenga Serikali ya North Korea sio Bongo Land, There is a paucity of budget sufficient.
  3. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Upo busy na viongozi wa Mataifa ya watu. Vipi kwenu hamna shida?
  4. PLOII

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Umeandika vizuri lakini kuweka sawa. Migiro hakutoa Tangazo la kumtoa Nchimbi ila kama Chama wana haki ya kumfutia uanachama.
  5. PLOII

    JamiiForums Tanzania Ukitaka Upate Sonona au Pressure, Kuwa Mfuatiliaji Mzuri wa Siasa za Tanzania Is Not Productive Anymore

    Umofia ndugu zangu kutoka Bongo Land ! Binafsi ilifikia Time nikahisi Ubongo una- cease kwa ubishani ambao hauna faida kwa Mwananchi wa kawaida mfano, atasimama Waziri atasema hakuna kama Mama kaleta Maji na kajenga Shule nyingi Nchini. Swali baada ya kuleta maji watu wana uhakika na upatikanaji...
  6. PLOII

    JamiiForums Tanzania Maisha Bila Mazoezi: Mnakabiliana Vipi na Stress?

    Jibu Zuri sana
  7. PLOII

    JamiiForums Tanzania Shida ya nchi yetu ni principle"Confounding compounding"; Jaji Chande na timu yake ni wageni ktk zama za teknolojia,wanawaza kizazi zama za 1900s-2010

    Umofia wana JF. Nimeona nitoe maoni ya Mada ambayo imeleta taharuki ingawa kwa wengine waliipotezea tangu kuanza Mchakato wake. Nimeona watu wakiongea sana kuhusu ripoti ya Judge Chande kuwa ina Ukasuku mwingi ndani yake haina matokeo yenye mvuto kwa Jamii. Tumekuwa na shida ya kuamini hawa...
  8. PLOII

    JamiiForums Tanzania 2030 mgombea wa nafasi ya Ubunge awe na shahada ya Pili ili kufuta hizi chuki na utitiri wa wagombea majimboni. Chadema wengi itabidi wakasome

    Kwa SIFA Hizo CHADEMA hawana shida ila huku kwetu ndio Majanga tunazo degree hadi za kuomba.
  9. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye hii Dunia, unatakiwa kuheshimu Dola na serikali, uki Mess Up hata Mungu Hana cha kukusaidia

    Mungu yupi Mkuu? Kama ni Mungu wa mbinguni ambaye ni waki atakusaidia
  10. PLOII

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Mbina Rais wa Nchi baada ya Jakaya hakuwahi kuwa wazi hivyo. Ni- DM Nikupe Jibu
  11. PLOII

    JamiiForums Tanzania WHAT A SHAME TO Viktor Gyökeres; Arsenal tunatahitaji Mchezaji Bora kwenye lile eneo la Victor better more to use Gabriel Jesus sio hii takataka

    Guys wajinga sio Bongo tu na Mwangosi na Dube wana Role Model wao huku England. I was very FLABBERGASTED a such Professional Player, you turn a clumsy cross while you've an option to score or give a cross earlier before the critical deadlock from the two defenders. Number of goals this season...
  12. PLOII

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Odero avuliwa uanachama CHADEMA. Alikuwa akipigia chapuo maridhiano!

    Tume na Report ni vya Rais (Rais Samia) hao wanasiasa wataipata wapi ili waisome. Nadhani kwa sasa Pseudo Politicians watafute namna bora ya survival. No one is Ignorant
  13. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nipo bado kwenye Ndoto; Kile kilichotokea 29 October, 2025 kina mwelekeo na Maandiko Matakatifu?Kwa Report ya Chande hata Lucifer kanyosha Mikono.

    Umofia Wadau. Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA" Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:- 1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
Back
Top Bottom