Recent content by PLOII

  1. PLOII

    JamiiForums Tanzania Shida ya nchi yetu ni principle"Confounding compounding"; Jaji Chande na timu yake ni wageni ktk zama za teknolojia,wanawaza kizazi zama za 1900s-2010

    Umofia wana JF. Nimeona nitoe maoni ya Mada ambayo imeleta taharuki ingawa kwa wengine waliipotezea tangu kuanza Mchakato wake. Nimeona watu wakiongea sana kuhusu ripoti ya Judge Chande kuwa ina Ukasuku mwingi ndani yake haina matokeo yenye mvuto kwa Jamii. Tumekuwa na shida ya kuamini hawa...
  2. PLOII

    JamiiForums Tanzania 2030 mgombea wa nafasi ya Ubunge awe na shahada ya Pili ili kufuta hizi chuki na utitiri wa wagombea majimboni. Chadema wengi itabidi wakasome

    Kwa SIFA Hizo CHADEMA hawana shida ila huku kwetu ndio Majanga tunazo degree hadi za kuomba.
  3. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye hii Dunia, unatakiwa kuheshimu Dola na serikali, uki Mess Up hata Mungu Hana cha kukusaidia

    Mungu yupi Mkuu? Kama ni Mungu wa mbinguni ambaye ni waki atakusaidia
  4. PLOII

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Mbina Rais wa Nchi baada ya Jakaya hakuwahi kuwa wazi hivyo. Ni- DM Nikupe Jibu
  5. PLOII

    JamiiForums Tanzania WHAT A SHAME TO Viktor Gyökeres; Arsenal tunatahitaji Mchezaji Bora kwenye lile eneo la Victor better more to use Gabriel Jesus sio hii takataka

    Guys wajinga sio Bongo tu na Mwangosi na Dube wana Role Model wao huku England. I was very FLABBERGASTED a such Professional Player, you turn a clumsy cross while you've an option to score or give a cross earlier before the critical deadlock from the two defenders. Number of goals this season...
  6. PLOII

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Odero avuliwa uanachama CHADEMA. Alikuwa akipigia chapuo maridhiano!

    Tume na Report ni vya Rais (Rais Samia) hao wanasiasa wataipata wapi ili waisome. Nadhani kwa sasa Pseudo Politicians watafute namna bora ya survival. No one is Ignorant
  7. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nipo bado kwenye Ndoto; Kile kilichotokea 29 October, 2025 kina mwelekeo na Maandiko Matakatifu?Kwa Report ya Chande hata Lucifer kanyosha Mikono.

    Umofia Wadau. Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA" Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:- 1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
  8. PLOII

    JamiiForums Tanzania Hii Wizara ya Vijana haina Tija;Vijana wanataka Ujuzi na Mitaji sio Wizara- Waziri ana kazi ya Kucheza ngoma kuliko kutoa Mitaji/Mikopo kwa Vijana

    Kumekucha wana JF Niende kwenye Mada kiufupi sana. Binafsi nimekuwa disappointed na hii Wizara. Na Moja ya Jambo la hovyo kabisa ni kusema Vijana watume Maombi kwenye E-mail address ya Wizara of which the email is not authenticated & secured. Kabla hata ya deadline email ilikuwa imejaa...
  9. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezaji ana bahati mbaya kama Michael Ballack?

    Ulichoandika hakina authentication & real reflection. Huyu kuna baadhi ya vikombe kachukuwa hata hivyo kuna Nyota wengi sana script kama hii huandika issue sio Mkosi but football timing.
  10. PLOII

    JamiiForums Tanzania Yanga msimu ujao club bingwa boresheni point zenu walau zifike 9 sasa tumechoka

    Kwa Uchambuzi huu wewe ni Yanga Kufa na Kuzikana. Mwambieni yule Mvulana wenu anayehangaika na Personal Character/Identity atulie na Timu maana kila kitu ni lazima afanye yeye kinachohusu Pesa (10% ale Mwenyewe). Dogo ana Njaa ya Uongozi (Power Monger) since the Precedent of 2025 Election...
  11. PLOII

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Spika Mstaafu Samweli Sita. Zanzibar wakijifanya kiburi, wazimieni Umeme

    Nyerere hana shida acheni Mzee wangu apumzike kwa Amani. Kuna Mambo mengi yaliondolewa kwenye Katiba na Zanzibar kupewa Mamlaka ya kuamua kila kitu. Nyerere kwa kiasi kikubwa Aliacha Tanganyika yenye nguvu na Zanzibar yenye Utegemezi kwa babaye Tanganyika mfano mzuri unaotumiwa hadi sasa ni...
Back
Top Bottom