Recent content by PLOII

  1. PLOII

    Kwa ripoti hii ya CAG kama kuna kiongozi wa CCM hajawa tajiri basi atakuwa Mjinga sana

    Pesa hazitoshi hata Biblia imesema
  2. PLOII

    Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    UKIFA na lako halipo~~ Umri na Utumishi wake wa Miaka 31 ya Jimbo sio haba. Mungu kampenda zaidi acha apumzike Mzee Lukuvi sote tutapita.
  3. PLOII

    ARTETA IS THE ROTTEN WALKING BOY; Hovyo kabisa huyu afukuzwe tu. Miaka 8 no trophy. Kweli EFL tumekosa tena dhidi ya City?

    Carabao has gone Mkuu.... FA hapa napo mashaka tuombe City amtoe Liverpool mapema maana at least tukiwa serious tunampiga ila sio Liverpool FA, EPL & UCL
  4. PLOII

    ARTETA IS THE ROTTEN WALKING BOY; Hovyo kabisa huyu afukuzwe tu. Miaka 8 no trophy. Kweli EFL tumekosa tena dhidi ya City?

    Deserving but Arsenal tuna Mission this 2026. We can't hangout with a such crazy. Yesterday we were under weather.
  5. PLOII

    ARTETA IS THE ROTTEN WALKING BOY; Hovyo kabisa huyu afukuzwe tu. Miaka 8 no trophy. Kweli EFL tumekosa tena dhidi ya City?

    Sina hakika tunacheza kama tuna Mabusha mnafungwa mmejazana golini hapo hapo hahahahha Mamaee
  6. PLOII

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Wivu aahahaaa Wivi Jaman Wivuu Wazee wa "NIBEBE" Hoja dhaifu Dodoma plus Pamba plus Singida huwa wanatamani wacheze na Visu kwenye Viuno mbona Simba huwa ipo Kimya. League ni lazima iwe tough toka Paul Makonda aingie pale Wizarani ameziba mianya ya wahuni hakuna tena Kubebana. Shida ya NIBEBE ni...
  7. PLOII

    ARTETA IS THE ROTTEN WALKING BOY; Hovyo kabisa huyu afukuzwe tu. Miaka 8 no trophy. Kweli EFL tumekosa tena dhidi ya City?

    Straight to ostracize poor approach & strategies Plugged in the Team by this Rude boy, Arteta. Game ya Jana anaanza na Forward wawili lakini primary approach ni kujilinda so Forward walikuwa wa kazi gani? Foward za Arsenal ni Butu lakini bado aweka trust kwao kweli huyu ni Kocha? Jana...
  8. PLOII

    FT | Arsenal 0-2 Man City | Fainali Kombe la Carabao | Wembley | Man City Bingwa!

    Game ya Leo Timu yoyote inaweza kushinda kama Shabiki wa Arsenal tumaini langu lipo kwa Defense line na Goalkeeping sehem muhimu ya ushindi. Arsenal kwenye Striking line ni Butu tunategemea Viungo wa Kati na Invented Wingers kama Matnelli au Trossard badly Saka ni selfish, poor scoring.
  9. PLOII

    Walio ndani wanasemaje kwenye hili sekeseke la 2030, Acha niseme kidogo ili watu Msidanganywe maana tuna mtu wetu tayari kutoka kwa WAKUU WAWILI

    Mtu tayari yupo Chess board ni kwa ajili ya nani anainuka kumpita huyu wetu ili tumweke Shimoni Daima. It's no fussy no Muss, i am not dissing anyone but we get down to business though the King is horribly Slandered & haunted the Frogs. Stability inakuja ilimradi watu waamini kuwa mambo yapo...
  10. PLOII

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Kila upande unafanya kwa muongozo wao na bahati nzuri hakuna upande utasema upo sahihi maana pande zote hazijawahi kuleta Ushahidi vividly & clearly through spiritual manifestations hata yule anayepinga akakubali yes this is real. Imani zote zinabaki kuwa Imani na Imani ni kuamini "faith" kazi...
  11. PLOII

    Walio ndani wanasemaje kwenye hili sekeseke la 2030, Acha niseme kidogo ili watu Msidanganywe maana tuna mtu wetu tayari kutoka kwa WAKUU WAWILI

    Baada ya Kuandamana nini kilitokea RC Chalamila aliondolewa kwenye nafasi yake? IGP Wambura hayupo? Mafwele hayupo? Rais Samia hakuapishwa? That was a intransigent Plan & turmoil to secure a horrible Mission. To Win the game you need to play hardly & securely by looking your opponent's weaknesses.
Back
Top Bottom