Recent content by Pleasepast

  1. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mkifikisha miaka 28 nakuendelea...ndoa ni bahati nasibu

    Sio ndoa sema yuko kwenye sogea tukae ya tatu
  2. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifiwa na mkeo unatakiwa ukae muda gani kabla ya kuoa tena?

    Acha kiherehere fanya maisha yako achana na maisha ya watu
  3. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikupe siri 3 usizozijua ewe mwanaume unayenunua 'Dada Poa' kwa lengo la kujiridhisha kingono

    Hakuna lolote hapo ao wanawake ni kiungo muhimu sana hapa duniani na hata Mwenyezi Mungu anajua kwasababu bila hao wanaume wengi wangeishia kua wapiga punyeto tu
  4. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Kumekua na ongezeko kubwa la Wanawake wenye msongo wa mawazo

    Pole sana bila shaka unapitia changamoto kubwa ioa usijali yatapita
  5. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Kumekua na ongezeko kubwa la Wanawake wenye msongo wa mawazo

    Nimeyasoma maelezo yako yote hatua kwa hatua lakini nimegundua kwamba wewe ndio mwenye msongo wa mawazo tena inaonekana umeachwa na mwanamke ambaye ulimpenda sana aseeee pole sana mkuu ndio maisha ya Dunia yalivyo vumilia utapata mwingine.
  6. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

    Wewe unataka uwe unaongea nae nini muda wote au nyie ni familia ya wajita nimpe pole uyo muoaji.
  7. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    Zitume hapa tuone kama ni kweli.
  8. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne

    Ooh kumbe mtu akirudia masomo yote anapewa cheti kipya.?
  9. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne

    Zinakuepo kivipi.? Sio kwamba anapewa cheti kingine chenye matokeo mapya
  10. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

    Kama ni yako lea kisha uje utoe mlio
  11. Pleasepast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

    Wewe ni kichaa uliye ajiriwa na akili huna pambana na hali yako lea io mimba ya mwanaume mwenzako.
  12. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Kwani JF sio social network.?
  13. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Mbona usha liweka hapa JF
  14. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Kama unaona unahitaji kukaa nayo moyoni then kinacho kuleta JF kuwalaumu wanao onyesha furaha zao na kuwaita washamba ni nini unaonaje kama ukikaa kimya na uache wengine wafurahie maisha yao kwa amani na wewe ukae na siri zako kwa amani
  15. Pleasepast

    JamiiForums Tanzania Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Jichunguze lazima kuna sababu ya wewe kua ivyo
Back
Top Bottom