Kila kitu chaitaji kiasi, ukiforce sna ndo unapo umia ,ukiona anakusumbua kua humble Kaa tulia fanya mambo mengine yatakayo kusaidia kumtoa akilini mwako
Ushirikina Mara nyingi ni WA kuzuia tu maendeleo, na Wala hauleti maendeleo kwa wanaoufanya, ila hapo kweny kifo Cha Mpango wa Mungu na ushirikina nahic mpaka mtu awe na macho ya Roho ndio anaweza jua
Shida ya Afrika ni kwamba tunatafsiri vibaya maneno Matakatifu. Watu saiz wapo busy kutafuta sehemu ya miujiza watabiriwe kupata magari na majumba badala ya kufanya kazi kwa nguvu zao wenyewe
Kiukwl unayo sema ni kwl ila tukija kweny iyo ishu ya ulinzi kwa watu wa kubwa mi kwaupande wangu naona nisawa kwa mfano kifo Cha raisi wa kwanza wa Zanzibar , yeye alifyatuliwa risasi alipokuepo hakuwa na ulinzi. Ila kwa issue ya akili naona waafrika akili tunazo ila shida tumejawa na uvivu ...
Kwa Mimi naona Bora tu kuishi kwani hamna tatizo lisilokuwa na uvumbuzi , ukisema eti ufe Yani uko ndo mateso Zaid heri ya duniani. Hii Imani potofu watu wanabidi waelimishwe ili ipate kutoka hata mashirika ya kidini yafanye kazi katika swala hili
Pia kisayansi, msongo wa mawazo inaweza kuelezewa kwa mitazamo mitatu
1. Upungufu wa vituma taarifa kwenys ubongo; serotonin, norepinephrine na dopamine ( monoamine hypothesis)
2.upungufu au kuharibika kwa mifumo mbalimbali kweny ubongo( neurotrophic hypothesis)
3. Mkengeuko wa hormone kweny...
Hii kisayansi tunaweza sema inaweza kuwa ni magonjwa ya akili maana Kam nilivyosema haya magonjwa ni ya kurithi kwa ndugu wenye mtu mwenye ugonjwa wa akili ana asilimia 10 ya yeye pia kupata hapa naangelea kwa ndugu wa mstari wa kwanza na pia kisayansi inaonesha kwa mapacha wa kufanana endapo...
Asante, Sana upendo ni nguzo ya maisha hata kweny VITABU vya dini wanasisitiza Sana upendo. Mtu akioneshwa upendo , akijaliwa akithaminiwa itamsaidia kujua jinsi gani yeye ni WA maana Sana na bado anahitajika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.