huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja...
Hakuna eneo kwenye budget inayoonyesha nafuu kwa mlala hoiM kilichofanyika ni kama maelezo ya mganga wa chienyeji bAada ya kupiga ramli yaani futi kafutifuti tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.