Recent content by pizz

  1. P

    Yule aliyemjibu rais Magufuli kwenye ile video ya jana ni nani?

    Point[emoji5] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. P

    Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Ume observed kishujaa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. P

    JINI MAHABA NI TATIZO KUBWA KWA WAKE ZETU NA NDOA KUVUNJIKA.

    Watakao elewa hii ni wachache sana wahanga wa hili wapo wengi na sio kwenye ndoa tu, mpaka kwenye mahusiano ya kawaida. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

    Ipi hiyo mkuu Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
  5. P

    Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

    Dah inabidi ifunguliwe mahakama ya wezi wa mtandaoni Sent using Jamii Forums mobile app
  6. P

    "MWENYE HURUMA HANA BAHATI ", huu msemo una maana gani?

    Aisee nimegundua kwenye hii dunia ukiwa na huruma binadamu wanakufanya kama tambala la deki. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. P

    Unakumbuka maneno yapi kutoka kwa ex wako ambayo mpaka leo yanakugusa

    Kishavuu....means...kipochi manyoa au? Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
  8. P

    Unakumbuka maneno yapi kutoka kwa ex wako ambayo mpaka leo yanakugusa

    Bae nikwambie kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Kabisa, Mungu atupiganie tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Baada ya tukio alianza kuwa mgonjwa mgonjwa, na hata siku ya kuaga ilikuwa na utata, maiti ilikuwa inatoa jasho sana na damu puani. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Nomaa Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
  12. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Ndugu walikuwa na mvutano Kuna ambao walikuwa wanaamini na kuna ambao hawakuamini, shida ilikuwa hapo. Ila walipoenda kuchungulia kila walipokuwa wanaenda wanaambiwa amesimamiwa na jini la kike. Siku ya kuaga maiti ilikuwa ina toka jasho plus damu puani Sent from my SM-J200F using JamiiForums...
  13. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Ilikuwa miaka ya 2001 tulikuwa tunaendaga sana coco siku ya jumamosi na jumapili, mshikaji wetu akatuacha baada ya maongezi na huyo demu akamwambia anakaa mitaa ya Morocco (nanukuu) Kwa hiyo wakaamua watembee maana sio mbali walipokuwa wanakaribia karibia na kanisa wakati mshikaji anaendelea...
  14. P

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    Ilimtokea mshikaji wetu katoka na demu coco beach, kufika maeneo ya kanisa la st. Peter demu akayeyuka. R.I.P A. R Sent using Jamii Forums mobile app
  15. P

    Nataka nitulie na demu mmoja

    Huna tofauti na yule mc aliye lia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom