Dah.....! nawakubali sana Makamanda wa MUSOMA MJINI, mnatupa raha sana sisi wna wenu ambao tumekua nanyi katika harkati za kubdilisha mfumo wa uongozi katika taifa letu la Tanzania ana kweli CDM na UKAWA kwa ujumla ndo habali yenyewe
Ni kweli wanaSERENGETI tumechoshwa na wabunge MABUBU kama WANYANCHA na KEBWE tunaitaji mabadiliko; Nawaombeni ndugu zangu Wangurimi, Wakurya, Wanata n.k msifanye makosa hiyo trh 25/10/2015 ili tuweze kuikomboa Wilaya yetu maana huyo Kebwe hafai kabisaaa
kiukwel serikali haikujiandaa juu ya zoezi zima la BVR na hii inasababisha kua na msongamano mkubwa sana wakati wa uandikishaji yani mpaka inapelekea hadi watu wengne kulala kwenye kituo cha uandkishaji, hii inasababisha baadhi ya watu wakate tamaa juu ya zoez zma, je? kwa hali hyo ni haki kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.