KWELI:
Nisiposema hili wengi hawatalipatia uzito.
-Baba wa taifa ndie nabii ninayemzungumzia
WATANZANIA WANATAKA MABADILIKO WASIPOYAPATA NDANI YA CCM WATAYAPATA NJE YA CCM.
ATAEIANGUSHA CCM ATATOKA NDANI YA CCM.
Dalili zote zinazihirisha kuwa unabii huu utatimia.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Jamani naomba tufahamishane kama una uzoefu au Data za kuaminika. Hivi mwezi gani majina ya waliopata loan huwa yanatoka baada ya kuappeal.
Chuon bila mkopo bola jela
Kweli mambo ya nacte yanatutesa nafsi sana. Wameanza kuweka mabadiliko kwenye profile zetu lakini mabadiliko hayo nimaajabu matupu mf. Mimi wameniandikia eligible kwa facult mbili nilizoomba zinginine checking inprogress kinacho nitesa kwenye hizo eligible kwenye capacity ni zero.
Je wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.