Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote
Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?
Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
Habari za jioni wadau Nataka kumiliki silaha either bunduki au bastola so nilikua naomba kwa wenye uzoefu naomba kujua sehemu naweza kununua silaha na bei zake na ni vibali gani vinahitajika hadi niweze kumiliki silaha niatashukuru sana kama nitaweza kupata maelekezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.